Kipindi cha mwalim toka mwenge uanzishwe, hawakuwepo mafisadi wengi sana kama ilivyo kwasasa hivi, hivyo inaonyesha kadri siku zinavyo kwenda mafisadi wanazi kuongezeka na mwenge unashindwa kuwachoma hawa mafisadi. Hivyo mimi naona mwenge una faida ya kuzaa mafisadi wazidi kuongezeka zaidi. na kula hela za mlipa kodi. Gharama hiyo inayo tumika kutembeza mwenge 45mil kwa siku zinatosha hata kwa kuweka umeme wa sola kwenye zanati ambako akina mama wanajifungua kwa vibatali!! ni wazi mwenge unazaa mafisadi na kadri siku zinavyo kwenda mwenge utakuwa na wajukuu!!!!