Ngambo Ngali
JF-Expert Member
- Apr 17, 2009
- 3,517
- 1,363
Wanakijiji wa wawili wa Kijiji cha Masqaroda Wilayani Hanang, Mkoa wa Manyara wamekamatwa kwa kuhoji matumizi ya michango ya fedha za mwenge.
Mwenge mwaka huu utawashwa Mkoani Manyara
______________________________________
Democracy is the government of the people, by the people, for the people
Abraham Lincoln
Matatizo ya kutokuwa na au kuzingatia rule of law, usipotoa mchango wa mwenge sio kasa la jinai hata kidogo, wanawaonea wananchi hawajui haki zao. Waachiliwe haraka.