Kwanini Mwenge hauko audited?Sijawahi kujua faida ,uhitaji wa mwenge, tuboreshe na kumpa nguvu zaidi Ofisi ya CAG, kwani kubwa mwenge walau ukaguzi wa miradi kwa macho kwa sekunde chache.Garama za mwenge mbali ya pesa, watendaji selikali mkoa ndani ya mwezi wapo busy na vikao mwenge! Hauna tija.
Huwa nawaza km ulivyonena, mwenge hauna maana
WasiojulikanaBujibuji bado tunakupenda, utapotezwa
Mwenge huu hata CCM wenyewe hawautaki. Wapo naona kwasababu wanachomoa chomoa hela za mafuta, na pia Mwenge unawasaidia kuwapumbaza wananchi.
Pascal Mayalla, GuDume, BAK, maggid, Sky Eclat , Mzee Mwanakijiji na wachambuzi wengine wakaribie ili tufaidi hasara na faida za kitu hiki.
Kipekee said mohamed mzee mbobezi wa historia ya Tanganyika, kabla na baada ya Uhuru, atatupa kiunaga ubaga historia ya huo Mwenge, kuanzia harakati za kina Forojo Ganze na wenzake Sheikh Yahya Hussein, hadi walipoufikisha magogoni.
Asante
Ndio ndio,hili lipo Wazi My sister.Ukitaka ulaji omba uchaguliwe kuwa kiongozi wa mwenge kitaifa. Ukishazunguka Tanzania nzima per diem yake utaupa umasikini a short break.
Wale ni chipukizi wa UVCCMNdio ndio,hili lipo Wazi My sister.
Mwenge unawaotesha vitambi,Wanavuna mijihela.
Hivi wale Maskauti niwaonao,Huwa ni Maskauti Wa Roman Catholic...? Au ni jezi tu zimefanana..?
Alaaa kumbe!!!Wale ni chipukizi wa UVCCM
Ambacho Watu wasiojulikana hawakiwezi ni kuteka nchi nzima, kutesa nchi nzima na kuwapoteza raia wa nchi nzima.Bujibuji bado tunakupenda, utapotezwa
Naunga mkono hoja...hii kitu binafsi naichukia.. Kudumisha amani hakufanywi na kitu bali watu. Naungana na mtoa hoja.
Mwengee wooooo mwenge... mbiyo mbiyo.... mwenge tunaukimbiza... mbiyo mbiyo hadi makawo makuwu... mbiyo mbiyoo...NB:-
Moderator, Uzi huu usiunganishwe na Uzi mwingine wowote, wala usifutwe. Una tija na maslahi mapana ya ukuaji na ustawi wa taifa letu
Wasichokijua zaidi ni kwamba hata kwenye jalala wasilolipenda wanaweza pata msumari wa kuungia tanga la jahazi lao...Ambacho Watu wasiojulikana hawakiwezi ni kuteka nchi nzima, kutesa nchi nzima na kuwapoteza raia wa nchi nzima.
Kutumia Watu wasiojulikana kuzuia kuhoji ni upumbavu na unyafuzi wa fikra