Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Hii ni aina ya WIZI, UFISADI USIOHOJIWA POPOTE.1. Mwaka 2014 zilitumika zaidi ya Billion 120 kwa tabia zetu za wizi,ufisadi na ubadhirifu nathubutu kuweka round figure kuwa billion 170 na sitoshangaa ikawa mara 2 zaidi...
Majirani zetu wanatucheka kwa jinsi tulivyo mapoyoyoHii ni aina ya WIZI, UFISADI USIOHOJIWA POPOTE...
Muenge pumbazo la WADANGANYIKA.Majirani zetu wanatucheka kwa jinsi tulivyo mapoyoyo
Hatari sana...Jamaa huwa wanatupatia condom za bure pia tunacheza disco,kula pombe na madem kibaoo!ila condom zenyewe hatutumii tunapenda kavu end of the day tunapata ugonjwa wa kisasa tunakula vizuri na kufanya mazoezi!🤣
Mwenge huu hata CCM wenyewe hawautaki. Wapo naona kwasababu wanachomoa chomoa hela za mafuta, na pia Mwenge unawasaidia kuwapumbaza wananchi.
Pascal Mayalla, GuDume, BAK, maggid, Sky Eclat , Mzee Mwanakijiji na wachambuzi wengine wakaribie ili tufaidi hasara na faida za kitu hiki.
Kipekee said mohamed mzee mbobezi wa historia ya Tanganyika, kabla na baada ya Uhuru, atatupa kiunaga ubaga historia ya huo Mwenge, kuanzia harakati za kina Forojo Ganze na wenzake Sheikh Yahya Hussein, hadi walipoufikisha magogoni.
Asante
Nipo sit moja nawe kabisa,toka nizaliwe sijawahi kuona na kamwe sitaki niuone coz naamini hauna faida yoyote plus na hali ya uchumi tulinayo sasa,pesa nyingi inapotea,Unazambaza Ukimwi kwa kasi ya hatari mfano kuna uwanja mmoja Geita baada ya mwege ziliokotwa kondomu ndoo moja hao walijari kidogo je ni wote walitumia condoms?Kibaya zaidi watoto wadogo wa primary na secondary kike ndo waathirika zaidi wa ngono kipindi cha mwenge.Hapa kwetu ZANZIBAR kwa kipindi hichi hatuna raha kwa ajili ya mwenge. Mwenge huo ukitoka sehemu moja kwenda nyengine huwa na msururu mrefu wa magari ya polisi, jeshi pamoja na ya wapambe wa mwenge kutoka bara. Kinachokera zaidi barabara hufungwa mpaka msafara umalizike.
Kwa kweli mwenge sijaona faida yake kwa taifa au masilahi kwa raia zaidi ya watu kukimbiza moto.
Mwaka mmoja huko nyuma katika purukushani za mwenge kuna asikari polisi alitakiwa kuupokea mwenge na alikataa na alisema yeye ni Muisilamu na haabudu moto, yaani aligoma kuuchukua. Kwa hiyo nae akaambiwa avue magwanda yao (yaani uniform) na hiyo ilikuwa na maana ya kuachishwa kazi.
Mimi muisilam lakini naungana na hilo Suala la huyo Askari kuachishwa kazi...RUBBISHHapa kwetu ZANZIBAR kwa kipindi hichi hatuna raha kwa ajili ya mwenge. Mwenge huo ukitoka sehemu moja kwenda nyengine huwa na msururu mrefu wa magari ya polisi, jeshi pamoja na ya wapambe wa mwenge kutoka bara. Kinachokera zaidi barabara hufungwa mpaka msafara umalizike.
Kwa kweli mwenge sijaona faida yake kwa taifa au masilahi kwa raia zaidi ya watu kukimbiza moto.
Mwaka mmoja huko nyuma katika purukushani za mwenge kuna asikari polisi alitakiwa kuupokea mwenge na alikataa na alisema yeye ni Muisilamu na haabudu moto, yaani aligoma kuuchukua. Kwa hiyo nae akaambiwa avue magwanda yao (yaani uniform) na hiyo ilikuwa na maana ya kuachishwa kazi.
Kwavipi Mwenge unaleta utulivu ?Utulivu wa watanzania siri yake ipo hapo
Hivi kuna hata mbunge mmoja alishawahi hoji justification ya kutumia gharama kubwa kwenye huu mwenge?Hapa kwetu ZANZIBAR kwa kipindi hichi hatuna raha kwa ajili ya mwenge. Mwenge huo ukitoka sehemu moja kwenda nyengine huwa na msururu mrefu wa magari ya polisi, jeshi pamoja na ya wapambe wa mwenge kutoka bara. Kinachokera zaidi barabara hufungwa mpaka msafara umalizike.
Kwa kweli mwenge sijaona faida yake kwa taifa au masilahi kwa raia zaidi ya watu kukimbiza moto.
Mwaka mmoja huko nyuma katika purukushani za mwenge kuna asikari polisi alitakiwa kuupokea mwenge na alikataa na alisema yeye ni Muisilamu na haabudu moto, yaani aligoma kuuchukua. Kwa hiyo nae akaambiwa avue magwanda yao (yaani uniform) na hiyo ilikuwa na maana ya kuachishwa kazi.
Mkuu uko serious kweli kuwa amani inaletwa na mwenge? Kama ni kweli Somalia, South Sudan, DRC wangeuomba ili uwapelekee amani.huo una siri kubwa sana ata leo uanzishe maandamano nchi nzima hakuna kitacho tokea kiufupi mwenge ndo unafanya Tanzania kuwe na amani.
Uchawi upo jamani.
Mkuu uko serious kweli kuwa amani inaletwa na mwenge? Kama ni kweli Somalia, South Sudan, DRC wangeuomba ili uwapelekee amani.
Mwenge ni uchawi unaotumika na CCM ili idumu madarakani daima.Hapa kwetu ZANZIBAR kwa kipindi hichi hatuna raha kwa ajili ya mwenge. Mwenge huo ukitoka sehemu moja kwenda nyengine huwa na msururu mrefu wa magari ya polisi, jeshi pamoja na ya wapambe wa mwenge kutoka bara. Kinachokera zaidi barabara hufungwa mpaka msafara umalizike.
Kwa kweli mwenge sijaona faida yake kwa taifa au masilahi kwa raia zaidi ya watu kukimbiza moto.
Mwaka mmoja huko nyuma katika purukushani za mwenge kuna asikari polisi alitakiwa kuupokea mwenge na alikataa na alisema yeye ni Muisilamu na haabudu moto, yaani aligoma kuuchukua. Kwa hiyo nae akaambiwa avue magwanda yao (yaani uniform) na hiyo ilikuwa na maana ya kuachishwa kazi.
Kazi ya mwenge ni kupumbaza watu. Ila hamna uchawi unaodumu milele.huo una siri kubwa sana ata leo uanzishe maandamano nchi nzima hakuna kitacho tokea kiufupi mwenge ndo unafanya Tanzania kuwe na amani.
Uchawi upo jamani.