kwa vile umezaliwa miaka hii ya MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA ni vigum kuelewa DRC mpaka leo hawajuani na hawana Lugha moja.
Hebu hamia Rwanda au Somalia ukaone UNAGUZI WA DINI AU UKABILA
MWENGE uache ulivyo kwani hata usiposhiriki huwezi shitakiwa
na hata Upinzani hawajaanza leo liwa na nia ya kutawala alianza Mtukila akaja Sefu na CUF sasa Padri na ndoto bado kutawala km hawatawashirikisha Watanzania wote na vijiji vyote km mwenge unavyopita labda 2025
Kwa sasa tuna lugha moja nchi iko connected mwenge wa nini?
Udini umeshamiri,rushwa ndo usiseme,ubadhilifu wa fedha.ubaguzi katika kupata huduma muhimu wenye nacho ndo wanapata huduma bora.mpaka ajira ni za watoto wa wakimbiza mwenge.Tanzania udugu ni wa majukwaaani tu wanakimbizq mwenge tenda zote serikalini za makampuni yao na watoto wao.bado mnasema nchi tuna umoja????