Mwenge wa Uhuru upo kwa faida ya nani?
ni heri tumkimbize rais maana anaona kuliko kulikimbiza dude linalowaka na kusambaza ukimwi !
 
Mwenge ni pepo na ibada ya kishetani kabisa ya kuabudu sanamu inapaswa kukemewa kwa nguvu zote Mungu atusaidie. Eti mwenge unaleta upendo, matumaini na vitu vingine uongo kabisa, ina maana mtu huwezi kuwa na upendo bila mwenge kupita? Au kuwa na matumaini kwa waliokata tamaa kwa ajili ya mwenge! Hebu tuache fikra potofu kabisa hizi. Na huu mwenge kuna watu wananufaika nao ndo maana kuna watu wanawashinikiza kwa nguvu kuchangia pesa, kwa hiyo ni kama mradi wa watu fulani hivi. Tafadhali chukua hatua, Tushirikiane kuutokomeza.
 
kwa kweli mwenge hauna faida kabisa,nadhan ifike muda sasa tuukatae hakika,
 
Mwenge ni chanzo cha ongezeko kubwa la maambukiz mapya ya ukimwi na ni ufujaji wa kodi za watz.
 
ni moja ya mambo ya urithi wa kipumbavu ulioachwa na awamu ya kwanza.
 
...ungekuwa uko nyumbani kwangu ningesema mwenge ni takataka...
 
Mwenye kujua faida za mwenge hasa mkesha wa mwenge naomba anijulishe maana sizioni.

Huwa nasikia watu kubakwa uko na sijajua faida za mkesha wa huo mwenge japo unatumia gharama kubwa sana.

Mwenye ufahamu wa faida zake anielimishe.
 
Ndo siku ya kutoka out kwa walio wengi.
Siku ya mkesha watu huku kwetu wanafaidi, ikifika jioni kila mtu anapewa kondom sa sijui ndo kauli mbiu ya mwenge.
 
'MimiTena' umenichekesha kweli kweli.😀😀😀
 
1.ku boost matumizi ya kondom.
2.kuongeza idadi ya waathirika wa ukimwi.
3.kueneza sera za umaskini za ccm.
4.kuhalalisha ngono zembe
 
Mkesha wa Mwenge una faida lukuki.
Kuna makada wa wa chama chetu wapo kutokana na matunda ya mkesha wa mwenge.
 
Mwenye kujua faida za mwenge hasa mkesha wa mwenge naomba anijulishe maana sizioni.

Huwa nasikia watu kubakwa uko na sijajua faida za mkesha wa huo mwenge japo unatumia gharama kubwa sana.

Mwenye ufahamu wa faida zake anielimishe.

faida kubwa ni kueneza ukimwi kila mkoa
 
Faida unajua halafu unahoji kwanza kondom huuzwa sana umalaya na ukahaba gongo bangi n.k
 
Back
Top Bottom