Njaa Mbaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 666
- 175
Kwani Bendera ina faida gani?
Mwenge kazi kubwa ni kueneza ukimwi na kuhamasisha ufisadi kwa kulazimisha watu kutoa michango inayotumiks bila maelezo ni upuuzi hauna kazi yoyote zaidi ya ushirikina wa ccm wakiamini unawapumbaza watanzania waendelee kukiamini chama cha mafisadi na wauza unga na pembe za ndovu