Rais hakosei 😂😂😂😂 alishamwaga wino kumbe alikuwa ANADEMKA! 🤣🤣🤣🤣🤣

 
Your browser is not able to display this video.
 
Eti Rais, makamo wa Rais na waziri wake wote wasomi wa uchumi!!

Nafikiri ni uchumi wa maganda ya korosho.

Huku mtaani nawapa tu taarifa mpesa zishaanza kufungwa.

Failed state!
Upo sahihi mkuu. Kuna mmoja tu ndiye ambaye alinishawishi kutoa kahela kangu baada ya kutaka kutoa nikakutana na kiwango kikubwa sana cha kukatwa.

Njia yake yeye unakua kama unalipia bidhaa kwa kutumia LIPA namba ya vodacom
 
FAILED STATE kwa hiyo tusingelalamika ingekuwaje?
Feelings aside,mkuu hivi ushawahi hata kutafuta maana ya FAILED STATE?
Kwenye failed state hata haya maoni huwezi kuyatoa,a failed state ni zaidi ya neno lenyewe failed,jaribu kusoma zaidi ili siku ingine usiseme mbele za watu kuwa Tanzania is a failed state!
No offence though,,
 
Serikali kamwe isijaribu kurudi nyuma, irekebishe tu viwango viwe reasonable.
 
Mnadhani ni ukweli kabisa ya kwamba Majaliwa kassimu Majaliwa alikuwa na taarifa za kifo wa Chuma JPM,

alafu akamua tuu yeye kusema JPM yuko mzima. Doest it make clear sense in your head ?

Mpaka leo !?
it didnt click to me!!
i couldnt buy that shtt!
it didnt feel right to me!
 
Mnadhani ni ukweli kabisa ya kwamba Majaliwa kassimu Majaliwa alikuwa na taarifa za kifo wa Chuma JPM,

alafu akamua tuu yeye kusema JPM yuko mzima. Doest it make clear sense in your head ?

Mpaka leo !?
Swali lako litajibiwa na hiyo "avatar" yako.
 
Ukitaka kupata umaarufu wa kisiasa inabidi utengeneze tatizo Kisha ulitatue. Tegemea kupigiwa makofi na kupongezwa sana
 
Nn shida Kati yenu?
Hakuna chochote zaidi ya vituko vya JF.

Kuna siku mdau akiamka vibaya analipuka na comments kama hizi.

Ukishamjua unacheka tu badala ya kukasirika au kujibu matusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…