Nani anamlinda Gekul? DPP asema hana mpango wa kuendelea na kesi
Nasema kweli makamanda hata mchukie.

Ishu ya Gekuli iliingiziwa siasa sana kuliko kuacha PolisiTz wafanye kazi yao.

Kisa tu Gekul alihama Chadema na kujiunga na mafisadi wa CCm kila mtu ikawa ni kufurahia Gekul afungwe.

Huu ni upuuzi kabisa, Mwita nae tunamchukia bila sababu.
Hukumu aliyohukumiwa na jamii kuwa ni mnajisi inatosha.

Hapo alipo haonekani hadharani hovyo na akionekana anavaa miwani nyeusi
 
Nasema kweli makamanda hata mchukie.

Ishu ya Gekuli iliingiziwa siasa sana kuliko kuacha PolisiTz wafanye kazi yao.

Kisa tu Gekul alihama Chadema na kujiunga na mafisadi wa CCm kila mtu ikawa ni kufurahia Gekul afungwe.

Huu ni upuuzi kabisa, Mwita nae tunamchukia bila sababu.
Bila shaka mleta uzi ni mamluki!
 
Nasema kweli makamanda hata mchukie.

Ishu ya Gekuli iliingiziwa siasa sana kuliko kuacha PolisiTz wafanye kazi yao.

Kisa tu Gekul alihama Chadema na kujiunga na mafisadi wa CCm kila mtu ikawa ni kufurahia Gekul afungwe.

Huu ni upuuzi kabisa, Mwita nae tunamchukia bila sababu.
Kwamba DPP anafanya kazi kwa kuwakomoa cdm na sio Sheria zinataka Nini. Unakwama wapi we 🌈?
 
Kama hii ni kweli basi kuna double standard kubwa sana nchi hii.

Ukiwa chama fulan hugusiki, hii si poa kabisa
Mkuu ndiyo unajua leo? Na sijui kwa nini umesema ''kama ni kweli''! Hii wengine tulishasema adhabu yake ilikuwa ni kuondolewa uwaziri tu. Hapa ndipo tulipofikia. Hakuna njia ya mkato. Bila wananchi kuamka na kukiwasha ni bure. Hii inatakiwa mara waliposema kesi imeondolewa na DDP nchi nzima ingeweka moto! Hiyo ndiyo lugha watawala wanaielewa.
 
Nawaonea huruma vijana waliongiziwa chupa aisee. Cjui ningefanyaje kama ni mwanangu. Ningemuonyesha Mimi ni mkibosho jombaa.
 
Sawa boss,lakini Chadema hawana mamlaka ya kuamua kufuta kesi wala kuchunguza jinai. By the way kama DPP amefuta kesi hii kwa interest zake na kupokonya haki ya kijana masikini, mwenyezi mungu Hana tajiri wala masikini. Mshahara wa dhambi ni mauti. Mungu shughulikia matapeli,majizi na manyonyaji haya
Tatizo la CDM ni kutaka kusaka sifa kila pahali na kutaka kuingiza politics kila pahala. Saa nyingine huu ujuaji unawaharibia au kuwapotezea watu haki zao. Punguzeni kiheleni heleni.
Kitu kingine ni matumizi ya matusi Kwa kila anayeonekana kutovutiwa na siasa na misimamo ya cdm.

Binafsi sidhani kama unaweza kuongeza ushawishi Kwa matumizi ya lugha zisizo na staha lakini pia Kwa kuwa na kimbelembele Kwa kila kitu.
Na Siyo kila anayeongea tofauti na cdm haipendi cdm na kwamba hawezi kuipa kura. Mfano Mimi binafsi kwenye kupiga kura Huwa sipigii chama, trend yangu ni ifuatavyo:-
1995: Lyatonga Mrema, na baada ya marudio DSM nilipiga Kwa Lipumba
2000: Lyatonga Mrema
2005: Freeman Mbowe
2010: Dr. Slaa
2015: Dr. Magufuli
2020: Dr. Magufuli
2025: Inshallah, tukijaaliwa na kukawekwa. Mtu atakayenishawishi nitampia bila kujali Chama.
 
Tatizo la CDM ni kutaka kusaka sifa kila pahali na kutaka kuingiza politics kila pahala. Saa nyingine huu ujuaji unawaharibia au kuwapotezea watu haki zao. Punguzeni kiheleni heleni.
Kitu kingine ni matumizi ya matusi Kwa kila anayeonekana kutovutiwa na siasa na misimamo ya cdm.

Binafsi sidhani kama unaweza kuongeza ushawishi Kwa matumizi ya lugha zisizo na staha lakini pia Kwa kuwa na kimbelembele Kwa kila kitu.
Na Siyo kila anayeongea tofauti na cdm haipendi cdm na kwamba hawezi kuipa kura. Mfano Mimi binafsi kwenye kupiga kura Huwa sipigii chama, trend yangu ni ifuatavyo:-
1995: Lyatonga Mrema, na baada ya marudio DSM nilipiga Kwa Lipumba
2000: Lyatonga Mrema
2005: Freeman Mbowe
2010: Dr. Slaa
2015: Dr. Magufuli
2020: Dr. Magufuli
2025: Inshallah, tukijaaliwa na kukawekwa. Mtu atakayenishawishi nitampia bila kujali Chama.
Good point
 
Nasema kweli makamanda hata mchukie.

Ishu ya Gekuli iliingiziwa siasa sana kuliko kuacha PolisiTz wafanye kazi yao.

Kisa tu Gekul alihama Chadema na kujiunga na mafisadi wa CCm kila mtu ikawa ni kufurahia Gekul afungwe.

Huu ni upuuzi kabisa, Mwita nae tunamchukia bila sababu.
Kwa hiyo baada ya Chadema kuleta siasa kwenye jambo hilo ikawa ni kikwazo kwa muathirika kupata haki yake ama unamaanisha kuwa mtuhumiwa alitumwa na Chadema ambao wako juu ya sheria mpaka kuwafanya police wasifanye kazi yao?
 
Back
Top Bottom