Uchaguzi 2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

Niambie usio ukweli kuhusu sacos ya ukoo wa Mbowe. 50 million imepotea kimazingaobwe wacheni hizo.
 
Hahaha nadhani hoja zimeanza kupunguza tehteh....awamu ya pili ya kampeni za CCMinayoanza kesho itakuwa mbaya Sana kwa Chadema...stay tuned
 
duu hapa kuna jambo!
 
Acha vitisho dogo.
 
Reactions: Ole
Usidanganye watu JF, Hivi posta na huyo huyo mwanamama ndio Tume ya Uchaguzi ya Marekani ?? Unapakazia kama uko maskani ya ;Lumumba ukiwakaranga makada wako ??

Mkuu, hivi wakisikiliza unachoongea?

Sasa hawa wote si wanashirikiana na tume ya uchaguzi?

Tume ya uchaguzi si itawasiliana na posta.

Na kama kuna "disputes" si jaji atataka taarifa kutoka tume ya uchaguzi?
 
Ukweli tuuseme tu , katika pita pita zangu chadema inakubalika, nimehudhuria mkutano wa lissu mmoja kweli sio matusi wala nini yaani automatically wananchi wameumizwa na CCM, malalamiko ni mengi mno yanayo husu unyanyasaji wa serikali ya ccm kwa raia, lissu wala hatukani kwenye mikutano yake anakubalika tu , labda cha kuishauri NEC iachane na mambo ambayo hayana tija , iache mpambano uendelee.

Kwa lissu, ajaribu kuwaambia Hao watu wasibweteke waende kupiga kura siku yenyewe, ajitahidi kuwaambia wawahi na wawe wavumilivu kushinda kwenye mstari bila kuchoka ili wapige kura , ni kweli watu ni wengi sana katika mikutano yake.

Kwa ccm , acheni fujo, shindaneni kwa hoja sio kujificha kwenye mgonga wa matusi na NEC.
 
Lazima akijieleze mnapoteza muda bure!
 
Dadeki. The fall of Ccm is now so obvious!

Kweli hakuna marefu yasiyo na ncha. Kuanguka kwa Ccm kumeshafika.Hatimaye NEC wanaongeza zaidi kura za Lissu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Sasa kichwa Tundu Antiphas Lissu kinaenda kutoa hoja hadi NEC wanapoteana.

Na wajaribu kumkata waone. TukoTayari kugawana majengo ya serikali mwaka huu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…