Ukweli tuuseme tu , katika pita pita zangu chadema inakubalika, nimehudhuria mkutano wa lissu mmoja kweli sio mature wala nini yaani automatically wananchi wameumizwa na CCM, malalamiko ni mengi mno yanayo husu unyanyasaji wa serikali ya ccm kwa raia, lissu wala hatukani kwenye mikutano yake anakubalika tu , labda cha kuishauri NEC iachane na mambo ambayo hayana tija , iache mpambano uendelee.
Kwa lissu, ajaribu kuwaambia Hao watu wasibweteke waende kupiga kura siku yenyewe, ajitahidi kuwaambia wawahi na wawe wavumilivu kushinda kwenye mstari bila kuchoka ili wapige kura , ni kweli watu ni wengi sana katika mikutano yake.
Kwa ccm , acheni fujo, shindaneni kwa hoja sio kujificha kwenye mgonga wa matusi na NEC.