Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mrpokaji wa kumzidi jiwe aiseeIla jamaa anaropoka aisee hana breki , lolote linalokuja kichwani anaongea tu bila kudigest.
Tulia watu tunapokea uponyaji kwa Tundu LissuHamna jipya nyie maji ya shingo mnaanza mikwara nyuma ya keyboard. Oparesheni UKUTA iliishia wapi comrade?
Wanaweza kuwa na malalamiko lakini hii ndio chance kwao Dodoma kukutana na NEC uso kwa uso.
Hahahaha, inakuwa kama ile issue ya professor Asad (siku hizi anahudumu MUM), yaani waswahili tabu sana, wanakupamba ila siku mambo yakiwa mabaya huoni hata mmoja wa kuja kukusaidia. Lisu naweza sema uwezo wake wa kufikiri umeathirika sana, yaani anaishi kwenye buble, yaani Tanzania haijui na bado watanzania hawajui, hakuna hata mtu mmoja aliyenaye bega kwa bega, ila ni ushabiki tu wa kumsukuma mbele ili wapate pa kutokea wale wenye nia ovu, na mwisho wa siku ngoma anaicheza peke yake. Probably ataenguliwa kugombea na kushitakiwaMwambie asiende! Hivyo hivyo mlimdanganya Kabendera, sasa yupo wapi? Mwambie Lissu asiende - yeye mziki wake anaujua hawezi kataa.
Kama uropokaji unavunja kanuni na taratibu za uchaguzi NEC watamwitaHakuna mrpokaji wa kumzidi jiwe aisee
Mavi ya mbuzi,Hahahaha, inakuwa kama ile issue ya professor Asad (siku hizi anahudumu MUM), yaani waswahili tabu sana, wanakupamba ila siku mambo yakiwa mabaya huoni hata mmoja wa kuja kukusaidia. Lisu naweza sema uwezo wake wa kufikiri umeathirika sana, yaani anaishi kwenye buble, yaani Tanzania haijui na bado watanzania hawajui, hakuna hata mtu mmoja aliyenaye bega kwa bega, ila ni ushabiki tu wa kumsukuma mbele ili wapate pa kutokea wale wenye nia ovu, na mwisho wa siku ngoma anaicheza peke yake. Probably ataenguliwa kugombea na kushitakiwa
Why?Ahirisheni uchaguzi.
Kama askari alie vitani tuliyategemea, tutayakabiliTume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemuandikia barua mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ya kumuita katika kikao cha kamati ya maadili ya Taifa...
Ni teknolojia gani itatumika kusoma mioyo ya watendaji wa tume ili tupate wasiofungamana na chama chochote?Sasa ulotakiwa fisi waachiwe ili wafanye kama walivyofanya kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa.
Safari hii, watanzania ni lazima washiriki uchaguzi. Watafuata sheria za uchaguzi, na maigizo ya makada wa CCM wanaofanyia kazi zao ndani ya ogiai za Tume...
Tundu hawajui watanzania, wafuasi wake ni zaidi ya wajumbe maana heri wajumbe wanapiga kura hao wa Tundu wanakaa nyuma ya keyboard kumjaza, wachache wanaenda kumtazama na wakati huohuo asilimia kubwa hawana hata vikatioHahahaha, inakuwa kama ile issue ya professor Asad (siku hizi anahudumu MUM), yaani waswahili tabu sana, wanakupamba ila siku mambo yakiwa mabaya huoni hata mmoja wa kuja kukusaidia. Lisu naweza sema uwezo wake wa kufikiri umeathirika sana, yaani anaishi kwenye buble, yaani Tanzania haijui na bado watanzania hawajui, hakuna hata mtu mmoja aliyenaye bega kwa bega, ila ni ushabiki tu wa kumsukuma mbele ili wapate pa kutokea wale wenye nia ovu, na mwisho wa siku ngoma anaicheza peke yake. Probably ataenguliwa kugombea na kushitakiwa
Kila mwananchi ana haki ya kuwa na imani kwenye chama, uhuru wa kuchagua na kuchaguliwaNi teknolojia gani itatumika kusoma mioyo ya watendaji wa tume ili tupate wasiofungamana na chama chochote?
Ulaniwe!!Mara nyingine hata kama nyie ni matatumbeta ya Lumumba muwe mnatumia akili zenu!! Una akili ya kuandika humu lakini huwezi kuona UKIUKWAJI mkubwa wa KANUNI za kampeni na MAGUGULI?
Mtu mwenyewe unaitwa Mugabe one sasa tukujibu nini wakati umerithi jina lenye laana