Ni kosa gani kubwa ulilifanya kwenye maisha yako na usingependa wengine walirudie?

Ni kosa gani kubwa ulilifanya kwenye maisha yako na usingependa wengine walirudie?

Daa nina makosa hadi najiona paka,,

Kuchagua kutanyia kazi wilaya ya nyumbani(unaogopa kuchanganyikana)

Kujiunga vicoba,saccos

kuoa kwa kuvuta/pasi kushirikisha

kuoa mapema

Kukopa pesa ndefu

Kubeti pesa ndefu tena kwa wachina(mbaya mnoo)!!

Kumpa uhuru sana mwanamke(mke wangu)

Kukubali kesi(ilikuwa inanikabiri) iishe ili twende kwenye bargain!!(bora ningekaza)!!

kutokupenda kusali,kujumuika na waumini!!
Wanasemaga c ukubali yaishe?
 
Sio mbaya kuonyesha uwezo wako mbele za watu, ila kuwa makini kwani wengine si wema.
[emoji117]Uwezo in term of[emoji117]
[emoji117]Akili,kipaji,kazi au hata mafanikio
Imenikuta hii, na nimejifunza aisee. Hope nitachomoka katika hilii
Huwa nataman nisingefanya gradu form 4
 
Huwa nataman nisingefanya gradu form 4
mi yamenikuta mpaka elimu ikaishia nyumbani, nimekua jobless maisha hayasomeki ila huwezi amini ukiwa na akili unazo tu hazijifichi...
The 48 law of power : Rule 1 Never outshine the master

Make your masters appear more brilliant

- Huwezi amini kuna mambo makubwa nmeyafanya pamoja na kulostika huko, ambayo kwa mawazo na utekelezaji watu yamefanikiwa kaa kiasi kikubwa! kama ni marks 100 mambo ambayo yalihitaji vichwa hata 30 mimi mwenyewe niliyapanga yakakaa sawa .. na imeniweka tena kwenye target.
ukiwa na kitu ndani yako huwa kipo tu, hata ukitupwa kwenye matakataka utang'ara ijapo nafasi ya kung'aa mana umezaliwa intelligent hio haifutiki
 
mi yamenikuta mpaka elimu ikaishia nyumbani, nimekua jobless maisha hayasomeki ila huwezi amini ukiwa na akili unazo tu hazijifichi...
The 48 law of power : Rule 1 Never outshine the master

Make your masters appear more brilliant

- Huwezi amini kuna mambo makubwa nmeyafanya pamoja na kulostika huko, ambayo kwa mawazo na utekelezaji watu yamefanikiwa kaa kiasi kikubwa! kama ni marks 100 mambo ambayo yalihitaji vichwa hata 30 mimi mwenyewe niliyapanga yakakaa sawa .. na imeniweka tena kwenye target.
ukiwa na kitu ndani yako huwa kipo tu, hata ukitupwa kwenye matakataka utang'ara ijapo nafasi ya kung'aa mana umezaliwa intelligent hio haifutiki
Nakuelewa Sana madam princess ariana, hata Kama wataificha Sana ila mwisho watashindwa
 
Habari zenu wananchi wa Taifa la JamiiForums, leo katika kutafakari kwangu nimewaza sana haya maisha kuna ups and downs nyingi sana ambazo zingine zina utata sana kutokana na makosa tuliyoyafanya huko way back na unatamani kuwasaidia wengine wasirudie makosa hayo.

Wakati nipo chuo mwaka wa tatu UDSM huko Tanzania nikipiga zangu Computer Science nilipata mchongo Nokia Siemens kuna mradi wa kusimika minara walikuwa wakifanya na walihitaji watu competent kwenye eneo la Network Systems nikapewa hiyo connection na nilipiga kazi kama mwaka hivi hela ilikuwa tamu ila bahati mbaya kuna rafiki yangu wa karibu sana (family friend) alipata majanga ya kifamilia kodi nyumbani ilimuishia.

Michongo alikuwa hana na mke wake alikuwa akiumwa sana aliniomba nimsaidie amalize suala lake la kodi nikamsaidia lakini baadae aliniomba nimkopeshe kama milioni 12 aende morogoro akafanye mishe za kilimo ila ndani ya miezi 7 atakuwa kasharejesha yote so kwasababu ya ukaribu wetu na jinsi nilivyomfahamu way back sikuwa na shaka na ombi lake..

Dah niliingia benki nikamtolea milioni 12 akanishukuru akasepa yaani toka nimempa hiyo pesa sikuwahi kummwona tena maishani nilimtafuta sana baadae hata mke wake naye akawa hapatikani nilienda kwao kupeleka malalamiko yangu lakini ni kama walinipoza tu kwa maneno mwisho nikachoka na kuamua kupotezea ila iliniuma hii mistake.. usimuamini kiumbe anayeitwa mtu kupita kiasi..

Ni kosa gani kubwa ulilifanya kipindi cha nyuma cha maisha yako na ungependa wengine wajifunze ili wasikosee?
Kubeti ndani ya miez 2 milioni 4.5[emoji24][emoji24][emoji24]
 
ngumu sana sio rahisi.
kumbe upo Movies 😄 napata shida kukariri ID za watu, hio Series nashindwa kuipata kabisa mana nachukulia library
Ninayoo season 1- 8. Ni Kali kinoma aisee, yule mzee reddington anajua.
👉Halafu back to our topic, nini kinakufanya ujihisi hivyo👉
👉Umefilisika??, Ain't married yet or ulipata divorce ndo imekuvunja??
👉 princess ariana
 
Ninayoo season 1- 8. Ni Kali kinoma aisee, yule mzee reddington anajua.
👉Halafu back to our topic, nini kinakufanya ujihisi hivyo👉
👉Umefilisika??, Ain't married yet or ulipata divorce ndo imekuvunja??
👉 princess ariana
ina session ngapi complete?? mimi nashishndwa kuipata tu
wewe mambo ni mengi ndugu yani mengi hayaelezeki hata
 
Back
Top Bottom