Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

Sio kwa ubaya Je? Mama yako aliolewa na bikra?
Asante
 

Kama unavyomgundua ambaye aliyewahi kubikiriwa, tatzo approach ya wengi wetu ni sex kabla ya ndoa ndio maana

Ila kama utakuwa mkweli utapata vya kweli
 
siku hizi si wana weka limamo na shabu inakuwa kama bikra hawa viumbe [emoji23][emoji23][emoji23]

Bikra ya kweli haifanani na hizo, hizo bikra za kufoji zinatoka hata kwa kushtuliwa na kishndo kikali, au kwa kujikwaa hazina shughuli

Bikra ya kweli ni strong
 

Big up Chief
 
Sio kwa ubaya Je? Mama yako aliolewa na bikra?
Asante

Soma uzi vizur usiwe mjinga uzi unajieleza mtoa mada kanyoosha maelezo

Kasema hivi tukusaidie

Wazazi wake ndio wamemueleza kuwa asioe mwanamke asiye bikra na kiufupi wao walioana wakiwa bikra yaani mama yake aliolewa bikra

Labda mama yako wewe aliolewa bikra hilo ni swali lako yeye mama yake aliolewa bikra

Soma vizur au kilaza wew
 

Pengine hajui kusoma mkuu
 
Mzee na Bi mkubwa wameniweka chini wamenambia nihakikishe naoa bikra Coz wao wamenambia walipatana hivyo so wamenambia nioe bikra kama nisipooa bikra laana itayonikuta wao hawamo

Tena wamenisisitizia masingle maza ndio nisiguse kabsa
Huyo mzee na mamako kweli hawana mambo ya msingi ya kufanya. Kabisa wamekukalish, tafuta bikra
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…