Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Hahaha.Hivyo vishimo vipo tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha.Hivyo vishimo vipo tu
Wewe kuoa mwanamke ambaye kapumuliwa na wanaume wenzako imekusaidia nini..???Bikra inakusaidia Nini?
Tena single mama MwaJ bora hata angekua Hellen🤣🤣🤣Atakua yupo na single mama uko🤣
Binti kaolewa bikra, baada ya miaka michache mumewe Mungu Akamujitaji akafa...na mwanamke kapata pengine kitoto chake kimoja au viwili....huyu mjane vipi hapaswi kuolewa tena!!!?
Sasa unatukana wengi, hata kama wewe umempata, ulichezewa tu mchezo.
Nimeoa niliyembikiri. Safi kabisa
Sasa chief apa kama unatusema saiv used chakavu zimejaa mtaani uyo bikra unamtafuta kwa tochi au ndio tuoe wa miaka 5 uko iyo nayo ni kesi cjui unalijua ilo labda tupe ujuzi ni jinsi gani tutazitambua izo bikra saiv ata izo za marinda hakuna[emoji1787][emoji1787]
Tia kidoleUmeongea poit, lakini nitamjuaje kwa mtazama tu kama ni bikra?
siku hizi si wana weka limamo na shabu inakuwa kama bikra hawa viumbe [emoji23][emoji23][emoji23]
Hii comment ya kijinga kabisa. Hivi unajua ugumu wa kumtoa bikra binti? kwanza umtongoze mpaka akubali, ufanikiwe kumpeleka mazingira ya faragha, ufanikiwe kumvua nguo, na ufanikiwe kumtoa hiyo bikra baada ya purukushani za ku-deal na uoga wake kwa kuwa hajawahi kufanya hicho kitendo! Yooote hayo ikiwa mabinti wamefunzwa kujitunza sio rahisi kumaliza mpaka mwisho wa mchakato wote huo.
Tatizo hili litaisha pale wanawake wenyewe mtakapo anza kuwa responsible na matokeo ya matendo yenu na mkaacha kulaumu wanaume wametoa bikra zenu kama vile hiyo bikra ni mfano wa handbag ambayo mtu anakupora tu ukipita karibu yake! Upumbavu kabisa!!!
Mwisho wa siku mnatolewa mibikra, mnachezewa, mnazalishwa bila kuwa kupanga na mnatelekezwa! halafu mnasema single mama and happy! non sense!!!
Sio kwa ubaya Je? Mama yako aliolewa na bikra?
Asante
Wewe kuoa mwanamke ambaye kapumuliwa na wanaume wenzako imekusaidia nini..???
Soma uzi vizur usiwe mjinga uzi unajieleza mtoa mada kanyoosha maelezo
Kasema hivi tukusaidie
Wazazi wake ndio wamemueleza kuwa asioe mwanamke asiye bikra na kiufupi wao walioana wakiwa bikra yaani mama yake aliolewa bikra
Labda mama yako wewe aliolewa bikra hilo ni swali lako yeye mama yake aliolewa bikra
Soma vizur au kilaza wew
Katoa maelezo na uzi unajieleza kuwa mama yake alikutana na baba yake akiwa bikra so walikuwa hivyo
Na kaambiwa na wazazi wake kuwa mwanamke asiye na bikra ni laana na asijaribu kabsa kuoa wa hivyo
Rejea uzi alaf soma Kwa umakini
Sio kwa ubaya Je? Mama yako aliolewa na bikra?
Asante
Kwa hiyo una maanisha, tusigegede mpaka tuoe pia?
Huyo mzee na mamako kweli hawana mambo ya msingi ya kufanya. Kabisa wamekukalish, tafuta bikraMzee na Bi mkubwa wameniweka chini wamenambia nihakikishe naoa bikra Coz wao wamenambia walipatana hivyo so wamenambia nioe bikra kama nisipooa bikra laana itayonikuta wao hawamo
Tena wamenisisitizia masingle maza ndio nisiguse kabsa