😂😂 fyo fhinduu fhiki ifyoo nkamuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 fyo fhinduu fhiki ifyoo nkamuu
HAHHAHAHHHA kumekuchaaKama huna watoto mapacha wewe ni bonge la jinga!
Nilitaka nishangae wazazi vilaza watazaa vipi mtoto mwenye akili timamu. I rest my caseMzee na Bi mkubwa wameniweka chini wamenambia nihakikishe naoa bikra Coz wao wamenambia walipatana hivyo so wamenambia nioe bikra kama nisipooa bikra laana itayonikuta wao hawamo
Tena wamenisisitizia masingle maza ndio nisiguse kabsa
😀😀😀😀😀🙌🙌🙌Umemshirikisha hili suala mzee wako??
🤣🤣🤣Umemshirikisha hili suala mzee wako??
Japo siyo rahisi ila ukipata bikra umepata mkeo otherwise wengi wameoa wake za watu!
Upo sahihi inachosha kuoa Mtu ambaye ameshafanya Sana ngono.
Ngoja nipapambe nimpate binti ambaye ajatolewa madamu nikaoe aisee
Ukweli mchungu sanaa mkuu, wanabidi waolewe na waliowatoa bikra haina budi, siwezi kuoa msichana ambae sio bikra... never
Umeongea poit, lakini nitamjuaje kwa mtazama tu kama ni bikra?
Aaahaaaa secondedNilitaka nishangae wazazi vilaza watazaa vipi mtoto mwenye akili timamu. I rest my case
Usitukane mamba kabla hujavuka mto,,
pigia msumari.
Wewe ni ZoMBie
Kama mkeo hana trakoooo ww ni bonge la mjinga