Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

Bikra inaleta nini kwenye maisha ya ndoa? kwani tunaolea bikra zao au tunaoa wanawake wenye sifa za kuwa wake bora? (Saada)

Kwanini? Vitabu vya dini vimepiga marufuku uzinzi, zinaa kwanini?
 
Watoto waliozaliwa na mama ambaye sio bikra ndio wanavyokuwaga hivyoo, watoto wa ovyo

Wewe ukoo wenu wote hawajaolewa bikra ndio maana hamna akili timamu, kuanzia mabibi zako wote... kizaz cha lutu ukoo wenu kila mtu mwanamke ni changudoa kwenye ukoo wenu
Mbona unamakasiriko ndugu embu tupenzi faida ya bikra tujifunze kuliko is kelekele zenu sizo na mashiko
 
Ngoja nipapambe nimpate binti ambaye ajatolewa madamu nikaoe aisee

Ukweli mchungu sanaa mkuu, wanabidi waolewe na waliowatoa bikra haina budi, siwezi kuoa msichana ambae sio bikra... never
Never say never
 
Kwanini? Vitabu vya dini vimepiga marufuku uzinzi, zinaa kwanini?
Unazungumzia zinaa au bikra? mfano mke wako ulimkuta bikra sawa ukafa wewe inamaana huyu hafai kuolewa tena kisa hana kikra? (Msaada)
 
Kwanini? Vitabu vya dini vimepiga marufuku uzinzi, zinaa kwanini?
Kwenye vitabu vya dini wamekata vitu bingo tu ikiwepo kusengenya wewe hujawai kusengenya...???ukiachana na uzinzi
 
Bikra mauno anayajulia wapi.
Makazini tu huajiriwi bila uzoefu wa walau miaka 3 kwa kazi ambayo unapewa mkataba wa miaka 3 tu au miezi tu.
Sasa mtu unakaa nae maisha yako yote na hana uzoefu si balaa hilo.

Kuoa bikra ni vizuri ila nitcheat sana na kutakua hamna maana ya ndoa. Labda we mjuvi.
 
Wadada wenye bikra ingekua rahisi kuwabaini,hakika kila mtu angekimbilia kuwaoa,na kuwaacha ambao hawana.Wasio na bikra,washukuru tu kwamba wanaowafuata kuwaoa,hawajawapata walio na bikra.
Hivi is this rocket science? You just ask!!! Within the first week of that friendship/relationship you should know whether ni bikra or not, umwambie unataka bikra muachane bila kuchezeana hisia/miili, uendelee na safari ya kutafuta unachotaka.

Huyo aliyefanyiwa "favour" kuolewa na wewe naye ana hasara. It's God who favours us. Acha kuchukua vyeo usivyofikia.
 
..wazazi ongeeni na mabinti zenu wazitunze bikra zao msione haibu hata kama ninyi hamjabahatika kuolewa na bikra zenu msitake watoto zenu wawe kama ninyi, na wazazi ongeeni na vijana wenu wahakikishe wanaoa wasichana mabikra msiendeleze ujinga mlioufanya ninyi uendelee , ujinga wa watu waliooa wasichana ambao sio mabikra usiendelee

View attachment 2704135

Usisahau kuwaambia waongee na vijana wao wa kiume waache kutoa bikra za mabinti ambao sio wake zao
 
Hivi is this rocket science? You just ask!!! Within the first week of that friendship/relationship you should know whether ni bikra or not, umwambie unataka bikra muachane bila kuchezeana hisia/miili, uendelee na safari ya kutafuta unachotaka.

Huyo aliyefanyiwa "favour" kuolewa na wewe naye ana hasara. It's God who favours us. Acha kuchukua vyeo usivyofikia.

Kuoa mwanamke asiye bikra ni ujinga wa maksudi

Ni uamuzi ni Sawa na kwenda kununua gari ambayo used na kama una ufahamu zaidi lazima utafute gari ambayo haijawahi kutumia uenjoy gari kuliko kwenda kununua gari bovu
 
Unazungumzia zinaa au bikra? mfano mke wako ulimkuta bikra sawa ukafa wewe inamaana huyu hafai kuolewa tena kisa hana kikra? (Msaada)

Yeah ndoa ni ya wawili tu na sio zaidi... nikifa anatakiwa awatunze watoto hakuna ndoa mbili
 
Usisahau kuwaambia waongee na vijana wao wa kiume waache kutoa bikra za mabinti ambao sio wake zao

Hilo ninyi wamama ni jukumu lenu kwenye malezi ukimlea mwanao vibaya atazitoa au atatolewa bikra kabla ya wakati wake
 
Bikra mauno anayajulia wapi.
Makazini tu huajiriwi bila uzoefu wa walau miaka 3 kwa kazi ambayo unapewa mkataba wa miaka 3 tu au miezi tu.
Sasa mtu unakaa nae maisha yako yote na hana uzoefu si balaa hilo.

Kuoa bikra ni vizuri ila nitcheat sana na kutakua hamna maana ya ndoa. Labda we mjuvi.

Mwanzo mgumu atajua tu mauno huwa wana mafunzo kwenye mila na desturi zao anatakiwa akiolewa ndio aje ku kuonyesha nn! Aliambiwa aje afanye kwako
 
Back
Top Bottom