Nimeamua kumuacha mwanamke ninae mpenda sana roho yangu inaniuma sana

Tafta hela mkuu watu wana honga crown na iphone za macho matatu

I'm living above evarage mkuu, nikikutajia pesa ninayoingiza kwa wiki huwezi kuamini. Ni vile tu my types of women are different from yours
 
Walokole sikuhiz wapo hadi kkkt, Anglican, RC, na utaikuta hao EAGT wenyewe wapo huko na sio walokole
Tushakalili ivyo ila kuna jina lao wanao sali EAGT TAG FREE CHURCH NA MENGINE YA MFANO HUUU. huwa awaendani na sisi watu wa RC, LUTHERAN MORAVIAN NA AGLICANA
 
I'm living above evarage mkuu, nikikutajia pesa ninayoingiza kwa wiki huwezi kuamini. Ni vile tu my types of women are different from yours
Sawa mkuu nan akupinge ka mkubwa na mimi nataka nihame huko saa hii nijitafute niwekeze vya kutosha
 
Kukishakuwa na SoulBond hakuna wa kuwatenganisha. Ogopa sana Kiumbe kinachoitwa Mwanamke. Mimi Nina mchepuko mwaka wa 5 huu ameolewa na kati ya watoto wake watatu mmoja ni Wangu Hilo Halina Ubishi. Alivyojifungua ikapita miezi 6 alisafiri kunifwata Dar--Mbeya eti kaniletea zawadi ya mtoto Wangu na Ukimcheki dogo Leo Ni Copy Yangu. Ogopa sana Mwanamke akipenda
 
Huwa nikisikia tu mwanamke anamshauri mwanaume huwa navunjika moyo sana yani mwanaume unakuwa na akili ndogo hadi kuitaji kusolve mambo kwa kupitia ushauri wa mwanamke 🥴🥴🥴🥴 hata kama ni mama yako mzazi tayari hiyo ni dosari kubwa sana ...
 
Unamaanisha huwez kukubali chochote kutoka kwa mzazi wako
 
You are not alone

Key ni kutojuta tu
 
Yaani mkuu muda wangu ukifika na yeye wake ukafika tukionana basi sawa me ntaoa tu yeye mwenyewe lkn akipata mwingine kuolewa au kuzalishwa io itakua imeishaaa
 
Unamaanisha huwez kukubali chochote kutoka kwa mzazi wako
Huyo asiye kubali chochote tayari ni mpumbavu maana anakataa hata jambo la akili litokalo kwa mzazi wake au House girl wake au mtumwa wake au mtoto wake nk....soma nilicho andika kwa kutumia akili... nilicho sema ni vipi mwanaume ashindwe kujua jambo jema la kufanya hadi kusubiri ushauri wa mwanamke ?
 
Oya nipe connection iyo Mimi ninaendana nae
 
Single mother watoto wa kulelewa na single mother ni noma mkuu mama anavisha mtoto anaona
🤣Njoo bariadi tukupe kabinti ukakakuze

Wahenga wanasema hivi

"ukiona maisha ya biashara, mapenzi, jamii yanakutesa badili mfumo wa m
Mkuu siwezi piga nyeto madem ofisin kwangu wa field hakukauki tena wa vyuo ni kujichagulia tu
Hapo uhakika mzee of ur 28 and above deal with 17-23 years chicks, utilize your energy don't date age mates 24 and above chronic retired hoe's piga chini
 
Mama yake ana akili sana kumshauri atafute askari mwenzake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…