Ningekuwa Rais Samia, leo ningemtumbua Makonda akiwa uwanja wa KIA kabla hajakanyaga ardhi ya Arusha

Kaa kwa kutulia huyo ndiye Rais wa watanzania 2030
 
Huu ushahidi wa tuhuma zote tuseme huna pa kuupeleka ili achukukiwe hatua??.
 
Utakufa nawivu na chuki zako binafsi.Mwamba Makonda ni mchapa kazi aliye tukuka na kipenzi cha watanzania
Sasa mimi kweli niwe na wivu na Bashite!!!! Mimi siku nikiwa kama Bashite ndugu zangu naomba mniuwe. Huyo ni kipenzi cha watu kama wewe so acha kuwakosea adabu Watanzania tafadhali.
 
Sasa mimi kweli niwe na wivu na Bashite!!!! Mimi siku nikiwa kama Bashite ndugu zangu naomba mniuwe. Huyo ni kipenzi cha watu kama wewe so acha kuwakosea adabu Watanzania tafadhali.
Mwamba Makonda ni tumaini la mamilioni ya watanzania ndio maana unaona namna mapokezi yake yalivyo makubwa na mazito sana. Watu wamemiminika kwa hiyari yao wenyewe kumpokea Mwamba.
 
Unamchukia mkuu wako wa nchi huko mbeleni mapema hivi 🐒
 
Hadi mchana huu kamuharibia wapi? Una laumu tu.
Kwa kifupi toka Mama alipoanza kujihusanisha na Bashite kwa kumpa ukatibu mwenezi hapo ndipo alianza kujipoteza mwenyewe. Mtu kama Bashite unamletaje karibu yako na makandokando yake yote aliyonayo. Hata baadhi ya watu waliokuwa wanamuunga mkono walianza kurudi nyuma. Binafsi nilikuwa namuunga mkono Mama ila kwa sasa bora atoke tu hiyo 2025 kama ikiwezekana.
 
Tangu lini unachagulia watu marafiki wa kuwa nao karibu?

Maisha lazima yaendelee.
 
Sasa kama anakuja kuripoti na wao wameamua kumpokea, kuna kosa gani au ndio hivyo kisebusebu kinakusumbua??
 
Anachofanya huyu jamaa ni utoto wa hali ya juu, leo asubuhi nilikuwa nina kikao na Lema,kufika kwake naambiwa na yeye kaenda kumpokea Makonda.
😀😀😀😀😀😀😀we jamaa akili zako huwa unazijua mwenyewe.
 
Huyo ni wewe lakini kusema kuna watu wamerudi nyuma kisa RC Arusha sio kweli, binafsi yangu na wengi watafanya chaguo lao bila kuathiriwa na fikra za mtu binafsi au matazamio yake
 
Tangu lini unachagulia watu marafiki wa kuwa nao karibu?

Maisha lazima yaendelee.
Siwezi kukubadilisha tabia ila naweza kujibalisha tabia,means kwamba siwezi kukuchagulia marafiki ila ukichagua marafiki wapumbavu kwa mtizamo wangu basi mimi naamua kuacha urafiki na wewe that's it
 
Wivu wa kike ...Una uhakika watu wamelazimishwa ama ndo wivu wa kike tu
Mabasi ya AtoZ kumi nimeyakuta yakishusha watu,watu wanalalamika wametoka kufanya kazi shift ya usiku halafu badala ya kwenda kupumzika wakaamrishwa na viongozi wao wapande kwenye mabasi wqkampokee makonda kwa lazima.
 
Huyu jamaa itakuwa aliaguliwa na mnyama ngekewa sio Bure.
 
Mtoto wa kiume una wivu kama mke mwenza. Umebakiza kuvuliwa ubingwa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…