Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Kaa kwa kutulia huyo ndiye Rais wa watanzania 2030
View: https://m.youtube.com/watch?v=G_AxRZjTDgc
Ata mimi sijaelewa viongozi wa usalama wa mkoa kujazana airport kwa sababu ya Makonda.
Iła sidhani kama yeye mwenyewe alitarajia mapokezi hayo au makamera kama yote kuwepo.
Ata kwenye ndege yeye sio abiria wa kwanza kushuka nadhani Arusha tu wenyewe ndio walioanda hayo mapokezi.
Utakufa kwa presha mwaka huu.Mwamba Makonda ni kama maji tu huwezi ukayakwepaMakonda ni msanii mnafiki. Hakuna anayeenda kumpokea kwa hiari, bali ni mapokezi ya kutengenezwa.
Huu ushahidi wa tuhuma zote tuseme huna pa kuupeleka ili achukukiwe hatua??.Makonda Ali kuwa mkono wa kuume wa, Maghu katika kufanya political assassination, intimidation, elimination, mtu aliyeshiriki kupanga na kutekeleza mpango wa mauaji ya kiongozi wa upinzani,
Intelligence, and law enforcement community, wanalijua hili, na wanakuwa na woga jinsi ya just deal na makonda,
Na ukitegemea majitu mengi ndani ya chama na serikalini,ni machawa, hayapo pale by merit(ujuzi nk), yapo kupitia, uchawa, na kujipemdekeza, sasa, akitokea chawa mkubwa wa Rais, lazima, watamuogopa!
Hata ningekuwa mimi ndio makonda, ningeyakimbiza machawa yote yaliyopo chini yangu, kuanzia wakuu wa wilaya, kata, mpakq RPC, kwa, polisi ningehakikisha na mimi napata mgao wa zile pesa wanazokusanya kwenye faini za madereva!
Mdogo wangu makonda, hao chawa wenzio wa ccm kimbiza, kimbiza, washike makalio, shika matiti ya wake zao, wataishia kulia Lia kimya kimya, hakuna, wakuondoka, na, watakusifu zaidi.
Sasa mimi kweli niwe na wivu na Bashite!!!! Mimi siku nikiwa kama Bashite ndugu zangu naomba mniuwe. Huyo ni kipenzi cha watu kama wewe so acha kuwakosea adabu Watanzania tafadhali.Utakufa nawivu na chuki zako binafsi.Mwamba Makonda ni mchapa kazi aliye tukuka na kipenzi cha watanzania
Mwamba Makonda ni tumaini la mamilioni ya watanzania ndio maana unaona namna mapokezi yake yalivyo makubwa na mazito sana. Watu wamemiminika kwa hiyari yao wenyewe kumpokea Mwamba.Sasa mimi kweli niwe na wivu na Bashite!!!! Mimi siku nikiwa kama Bashite ndugu zangu naomba mniuwe. Huyo ni kipenzi cha watu kama wewe so acha kuwakosea adabu Watanzania tafadhali.
Unamchukia mkuu wako wa nchi huko mbeleni mapema hivi 🐒Mbwembwe zinazofanywa na makonda na tabia yake ya kujifanya yeye ni special kuliko wakuu wa mikoani wote leo ingemtokea puani.
Ashukuriwe Mungu leo Kuna mvua Arusha, lakini mji umesimama! Watu wanalazimishwq kwenda kumpokea makonda kwa misafara mikubwa. Mbona wakuu wa mikoa wanapokabidhiwa ofisi huwa inakuwa kimya kimya kwani yeye ana nini? Yaani Makonda anaenda kupokelewa kia kwa misafara ya magari msururu.
Wakuu wa idara, wakuu wa wilaya leo hawapo ofisini wameendq kumpokea Makonda! Kwakweli Leo ningekuwa rais Samia ningemrudisha Dar akiwa kia, kazi zinasimamq kwa ajili eti anakabidhiwa ofisi Kuna maajabu gani kwenye kukabidhiwa ofisi? Makonda unanini lakini? Kwani ungeenda kama wanavyoenda wakuu wa mikoa wenzako ungekufa? Punguza cheche utachoma nyumba.
si yule mnyang'anyi 🐒Lema yupi?
Kwa kifupi toka Mama alipoanza kujihusanisha na Bashite kwa kumpa ukatibu mwenezi hapo ndipo alianza kujipoteza mwenyewe. Mtu kama Bashite unamletaje karibu yako na makandokando yake yote aliyonayo. Hata baadhi ya watu waliokuwa wanamuunga mkono walianza kurudi nyuma. Binafsi nilikuwa namuunga mkono Mama ila kwa sasa bora atoke tu hiyo 2025 kama ikiwezekana.Hadi mchana huu kamuharibia wapi? Una laumu tu.
Tangu lini unachagulia watu marafiki wa kuwa nao karibu?Kwa kifupi toka Mama alipoanza kujihusanisha na Bashite kwa kumpa ukatibu mwenezi hapo ndipo alianza kujipoteza mwenyewe. Mtu kama Bashite unamletaje karibu yako na makandokando yake yote aliyonayo. Hata baadhi ya watu waliokuwa wanamuunga mkono walianza kurudi nyuma. Binafsi nilikuwa namuunga mkono Mama ila kwa sasa bora atoke tu hiyo 2025 kama ikiwezekana.
Sasa kama anakuja kuripoti na wao wameamua kumpokea, kuna kosa gani au ndio hivyo kisebusebu kinakusumbua??Mbwembwe zinazofanywa na makonda na tabia yake ya kujifanya yeye ni special kuliko wakuu wa mikoani wote leo ingemtokea puani.
Ashukuriwe Mungu leo Kuna mvua Arusha, lakini mji umesimama! Watu wanalazimishwq kwenda kumpokea makonda kwa misafara mikubwa. Mbona wakuu wa mikoa wanapokabidhiwa ofisi huwa inakuwa kimya kimya kwani yeye ana nini? Yaani Makonda anaenda kupokelewa kia kwa misafara ya magari msururu.
Wakuu wa idara, wakuu wa wilaya leo hawapo ofisini wameendq kumpokea Makonda! Kwakweli Leo ningekuwa rais Samia ningemrudisha Dar akiwa kia, kazi zinasimamq kwa ajili eti anakabidhiwa ofisi Kuna maajabu gani kwenye kukabidhiwa ofisi? Makonda unanini lakini? Kwani ungeenda kama wanavyoenda wakuu wa mikoa wenzako ungekufa? Punguza cheche utachoma nyumba.
Mkuu wa nchi wa Taifa lenye watu kama wewe au siyo,au atakuwa mkuu wa nchi pamoja na watu wenye akili pia?unamchukia mkuu wako wa nchi huko mbeleni mapema hivi 🐒
😀😀😀😀😀😀😀we jamaa akili zako huwa unazijua mwenyewe.Anachofanya huyu jamaa ni utoto wa hali ya juu, leo asubuhi nilikuwa nina kikao na Lema,kufika kwake naambiwa na yeye kaenda kumpokea Makonda.
Huyo ni wewe lakini kusema kuna watu wamerudi nyuma kisa RC Arusha sio kweli, binafsi yangu na wengi watafanya chaguo lao bila kuathiriwa na fikra za mtu binafsi au matazamio yakeKwa kifupi toka Mama alipoanza kujihusanisha na Bashite kwa kumpa ukatibu mwenezi hapo ndipo alianza kujipoteza mwenyewe. Mtu kama Bashite unamletaje karibu yako na makandokando yake yote aliyonayo. Hata baadhi ya watu waliokuwa wanamuunga mkono walianza kurudi nyuma. Binafsi nilikuwa namuunga mkono Mama ila kwa sasa bora atoke tu hiyo 2025 kama ikiwezekana.
Siwezi kukubadilisha tabia ila naweza kujibalisha tabia,means kwamba siwezi kukuchagulia marafiki ila ukichagua marafiki wapumbavu kwa mtizamo wangu basi mimi naamua kuacha urafiki na wewe that's itTangu lini unachagulia watu marafiki wa kuwa nao karibu?
Maisha lazima yaendelee.
Mabasi ya AtoZ kumi nimeyakuta yakishusha watu,watu wanalalamika wametoka kufanya kazi shift ya usiku halafu badala ya kwenda kupumzika wakaamrishwa na viongozi wao wapande kwenye mabasi wqkampokee makonda kwa lazima.Wivu wa kike ...Una uhakika watu wamelazimishwa ama ndo wivu wa kike tu
Huyu jamaa itakuwa aliaguliwa na mnyama ngekewa sio Bure.Mbwembwe zinazofanywa na makonda na tabia yake ya kujifanya yeye ni special kuliko wakuu wa mikoani wote leo ingemtokea puani.
Ashukuriwe Mungu leo Kuna mvua Arusha, lakini mji umesimama! Watu wanalazimishwq kwenda kumpokea makonda kwa misafara mikubwa. Mbona wakuu wa mikoa wanapokabidhiwa ofisi huwa inakuwa kimya kimya kwani yeye ana nini? Yaani Makonda anaenda kupokelewa kia kwa misafara ya magari msururu.
Wakuu wa idara, wakuu wa wilaya leo hawapo ofisini wameendq kumpokea Makonda! Kwakweli Leo ningekuwa rais Samia ningemrudisha Dar akiwa kia, kazi zinasimamq kwa ajili eti anakabidhiwa ofisi Kuna maajabu gani kwenye kukabidhiwa ofisi? Makonda unanini lakini? Kwani ungeenda kama wanavyoenda wakuu wa mikoa wenzako ungekufa? Punguza cheche utachoma nyumba.
Mbowe tayari tuko nae hapa Ibungu anafyonza zake KonyagiLema naye amelazimishwa na Mbowe kwenda kumpokea makonda 😂