Ningekuwa Rais Samia, leo ningemtumbua Makonda akiwa uwanja wa KIA kabla hajakanyaga ardhi ya Arusha

Madawq ya kulevya na clouds redio
 
Sasa hapo hujaelewa nini tena,ndiyo maana nikasema mimi nimechukua uamuzi wa kuachana naye. Au na wewe una vinasaba vya ki bashite mpaka huelewi jambo dogo kama hili
Nashangaa umeachana nae huku ukilalama huku JF?. Hizi ni tabia za kike za nataka sitaki.. au wewe ni ke.
 
Bashite tumpe miezi 6 tu
 
Ila hongera kwa kumfatilia sana makonda, huenda ikabeba mimba yake soon
 
Kwahiyo umemuona mama samia anafaidi mpk umetamani kuwayeye....

Kuanzia sasatutakuita mama mga nguzi
 
Kama umeumia sana si unywe sumu tu yaishe. Watu wanaenda kupokea mtu wao wewe inakuuma nini?
Na wewe si ujipange uende kumpokea Mdude stendi ya mabasi.
 
Hivi huwa mnafikiria kwa kutumia nini nyie upande wa pili???

Kwamba hao watu wamelazimishwa??

Wewe unaweza kulazimishwa kufana jambo usilopenda?.

Acha ujinga mtoa post kuwa na akili japo kidogo basi pia punguza wivu wa kike au achana nao kabisa.
Sasa kuna ulazima gani kwenda na wakuu wote wa idara
 
Uzi makonda!! Makonda amekataa kupumzika
 
Kati ya Mambo yote yanayofanywa na Samia Kama kuzurula, kugawa bandari umeona la maana ni kumtumbua Makonda
 
Mnamshangaa Lema kwenda kwani hamjui mjini mpaka ujue kuishi na watu hahaha,ana biashara zake na mambo ni mengi.
Mmeweka siasa rohoni wenzenu wanajuana hao,wanakunywa chai pamoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…