Nini maoni yako kuhusu vita ya Palestina na Israel? Bado unaamini Israel ina intelijensia kubwa Duniani?

Nini maoni yako kuhusu vita ya Palestina na Israel? Bado unaamini Israel ina intelijensia kubwa Duniani?

Israel imehtukizwa na kupewa kichapo cha 5-1 ndani ya masaa 24. Inshort intelijensia yao haikungamua uwepo wa mashambulizi haya. Hata mataifa makubwa awakutegemea kusikia kilichotokea.

Kwa kichapo kilichotokea maana yake Dunia haipo salama dhidi ya mashambulizi ya kulipiza kisasa. Ni ishara kwamba dola zote duniani zinapaswa kuanza kutathimini hali za amani kwenye maeneo yao.

Ugaidi siyo jambo linalotumia miaka kufanyika ila utumia sekunde kuvuruga nchi. Israel imevamiwa, ofcos watalipa kisasi kwa kuwaua raia lakini lazima wapo watu watawajibishwa kwa kutotimiza wajibu wao.

Kibaya zaidi ni kwamba wanajeshi na Raia wa Israel wamechukuliwa mateka. Kuchukua Raia na wanajeshi mateka kunaihakikishia Palestina ushindi kwani wanaweza kutumia mateka kumfanya Israel arudishe mashambulizi nyuma.

Suala ili lina muunganiko na imani hasa huku Afrika na Tanzania. Je ndani ya Imani unaamini kati ya Israel na Palestina nani achapwe? Katika tafakuri ya wazi unaamini nani mchokozi kati ya mataifa haya mawili?

Mwisho; Tanzania tukawatoe watu wetu kwenye mataifa haya mapema.l
Si tuliambiwa isra huwahawajadiliani na magaidi
 
Israel imehtukizwa na kupewa kichapo cha 5-1 ndani ya masaa 24. Inshort intelijensia yao haikungamua uwepo wa mashambulizi haya. Hata mataifa makubwa awakutegemea kusikia kilichotokea.

Kwa kichapo kilichotokea maana yake Dunia haipo salama dhidi ya mashambulizi ya kulipiza kisasa. Ni ishara kwamba dola zote duniani zinapaswa kuanza kutathimini hali za amani kwenye maeneo yao.

Ugaidi siyo jambo linalotumia miaka kufanyika ila utumia sekunde kuvuruga nchi. Israel imevamiwa, ofcos watalipa kisasi kwa kuwaua raia lakini lazima wapo watu watawajibishwa kwa kutotimiza wajibu wao.

Kibaya zaidi ni kwamba wanajeshi na Raia wa Israel wamechukuliwa mateka. Kuchukua Raia na wanajeshi mateka kunaihakikishia Palestina ushindi kwani wanaweza kutumia mateka kumfanya Israel arudishe mashambulizi nyuma.

Suala ili lina muunganiko na imani hasa huku Afrika na Tanzania. Je ndani ya Imani unaamini kati ya Israel na Palestina nani achapwe? Katika tafakuri ya wazi unaamini nani mchokozi kati ya mataifa haya mawili?

Mwisho; Tanzania tukawatoe watu wetu kwenye mataifa haya mapema.l
imefeli pakubwa sana. hata marekani na intelijensia yake yote iliingiliwa na osama ikapigwa nyumbani. lakini mwisho wa siku osama kawa udongo pamoja na watu wake wengi, na ndivyo ilivyo kwa hamas. hadi sasa, unaambiwa wanamgambo mamia wameuawa na wengine wamekamatwa hai kama mateka. huwezi kufanya kitu kama hicho kwa israel ukabaki salama. waliondoka gaza, na kwa jambo hili wanaenda kurudi, hakutakuwa na polisi tena ila waisrael mitaani, hata ramala kule west bank. wamedhamiria wasambae na kupatrol maeneo yote ya wapalestina, na hiyo unajua maana yake? ni kwamba itakuwa rahisi zaidi kwao kufanya expension, sasa ndio watajenga makazi hadi westbank na east jerusalem itaporwa muda si mrefu. kufa kufaana.
 
, ngoja niwkumbushe:-
1. Nyerere alidramatize kuwa wanajeshi wa Uganda wameivamia Kagera ili amchape Idd Amini.
Mwalim hakua mjinga namna hiyo. Aingie vitani ili kupata faida gani? Kisa Obote?
 
Wewe huelewi mwisho wa hao Wapalestina, Israel imerudi 1948 kwenye nchi waliyopewa na hakuna wa kuwatoa. Wewe kama ni Muislamu, soma Quran 5:21 utaelewa nchi hiyo ni nani.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nani kakuambia wanataka kuwatoa? Kinachaotakiwa hapo ni kuishi mataifa mawili yenye haki sawa ndipo amani itapatikana. Amani haiweI kupatikana kama kutakuwa na dhuruma labda muwauwe wapalestina wote
 
Israel imehtukizwa na kupewa kichapo cha 5-1 ndani ya masaa 24. Inshort intelijensia yao haikungamua uwepo wa mashambulizi haya. Hata mataifa makubwa awakutegemea kusikia kilichotokea.

Kwa kichapo kilichotokea maana yake Dunia haipo salama dhidi ya mashambulizi ya kulipiza kisasa. Ni ishara kwamba dola zote duniani zinapaswa kuanza kutathimini hali za amani kwenye maeneo yao.

Ugaidi siyo jambo linalotumia miaka kufanyika ila utumia sekunde kuvuruga nchi. Israel imevamiwa, ofcos watalipa kisasi kwa kuwaua raia lakini lazima wapo watu watawajibishwa kwa kutotimiza wajibu wao.

Kibaya zaidi ni kwamba wanajeshi na Raia wa Israel wamechukuliwa mateka. Kuchukua Raia na wanajeshi mateka kunaihakikishia Palestina ushindi kwani wanaweza kutumia mateka kumfanya Israel arudishe mashambulizi nyuma.

Suala ili lina muunganiko na imani hasa huku Afrika na Tanzania. Je ndani ya Imani unaamini kati ya Israel na Palestina nani achapwe? Katika tafakuri ya wazi unaamini nani mchokozi kati ya mataifa haya mawili?

Mwisho; Tanzania tukawatoe watu wetu kwenye mataifa haya mapema.l
vipi wewe. Unauliza swali ambalo jawabu lake kila mtu kalina hapo jana
 
Israel imehtukizwa na kupewa kichapo cha 5-1 ndani ya masaa 24. Inshort intelijensia yao haikungamua uwepo wa mashambulizi haya. Hata mataifa makubwa awakutegemea kusikia kilichotokea.

Kwa kichapo kilichotokea maana yake Dunia haipo salama dhidi ya mashambulizi ya kulipiza kisasa. Ni ishara kwamba dola zote duniani zinapaswa kuanza kutathimini hali za amani kwenye maeneo yao.

Ugaidi siyo jambo linalotumia miaka kufanyika ila utumia sekunde kuvuruga nchi. Israel imevamiwa, ofcos watalipa kisasi kwa kuwaua raia lakini lazima wapo watu watawajibishwa kwa kutotimiza wajibu wao.

Kibaya zaidi ni kwamba wanajeshi na Raia wa Israel wamechukuliwa mateka. Kuchukua Raia na wanajeshi mateka kunaihakikishia Palestina ushindi kwani wanaweza kutumia mateka kumfanya Israel arudishe mashambulizi nyuma.

Suala ili lina muunganiko na imani hasa huku Afrika na Tanzania. Je ndani ya Imani unaamini kati ya Israel na Palestina nani achapwe? Katika tafakuri ya wazi unaamini nani mchokozi kati ya mataifa haya mawili?

Mwisho; Tanzania tukawatoe watu wetu kwenye mataifa haya mapema.l
Wapigane tu, tukawauzie Mahindi.
 
Lakini Wananchi wa Gaza wasikubali tena kutawaliwa na Hamas waanzishe vyama vitakavyoweka Dialogue mbele kuliko Ugaidi na kuingiliwa na Iran kwenye mambo yao.
Sijui unataka kusemaje hapa. Hamas ndo jeshi pekee la wapalestina. Tena ni jeshi ambalo watu wake wamejitoa kizarendo dhidi ya sheria za Israel zinazoikataza Palestine kutomiliki jeshi lolote. Kumbukumbu ni kuwa Israel ya leo ni Taifa teule la umoja wa mataifa kwa azimio la 1945 wala si Taifa teule la Mungu. Mwaka 1947 ndiyo utekelezaji wa hilo azimio ulianza kazi kwa kuweka mipaka ya kuzigawa hizo nchi mbili. Lakn tokea hapo Israel imekuwa ikijitanua kupoka maeneo ya Palestine. Huu mgogoro umejaa conspiracy theory za kutosha. Zaidi unaongeza chuki kwa waisrael kuchukiwa na kukijaza kikombe. Mwisho wao utakuwa mbaya kiasi cha kukosa wa kuwatetea, na wataishia kufanywa km Hitler alivyowafanya.
 
Israel imehtukizwa na kupewa kichapo cha 5-1 ndani ya masaa 24. Inshort intelijensia yao haikungamua uwepo wa mashambulizi haya. Hata mataifa makubwa awakutegemea kusikia kilichotokea.

Kwa kichapo kilichotokea maana yake Dunia haipo salama dhidi ya mashambulizi ya kulipiza kisasa. Ni ishara kwamba dola zote duniani zinapaswa kuanza kutathimini hali za amani kwenye maeneo yao.

Ugaidi siyo jambo linalotumia miaka kufanyika ila utumia sekunde kuvuruga nchi. Israel imevamiwa, ofcos watalipa kisasi kwa kuwaua raia lakini lazima wapo watu watawajibishwa kwa kutotimiza wajibu wao.

Kibaya zaidi ni kwamba wanajeshi na Raia wa Israel wamechukuliwa mateka. Kuchukua Raia na wanajeshi mateka kunaihakikishia Palestina ushindi kwani wanaweza kutumia mateka kumfanya Israel arudishe mashambulizi nyuma.

Suala ili lina muunganiko na imani hasa huku Afrika na Tanzania. Je ndani ya Imani unaamini kati ya Israel na Palestina nani achapwe? Katika tafakuri ya wazi unaamini nani mchokozi kati ya mataifa haya mawili?

Mwisho; Tanzania tukawatoe watu wetu kwenye mataifa haya mapema.l
Mnaruchanganya ujue 😂

Tuongelee katiba? Russia/Ukraine, Bei ya mafuta? Mwabukusi,? Mdude au umeme?

Tuna RAM ndogo sana mjue
 
Tusubili ndani, ya, saa, 72,zijazo,
Gaza, will never be the same again. Kama Mbabe Osama aliuliwa, kama kuku, na Arabs mpaka Leo hawajuhi, kabuli lake, subili tuone mtoto wa mama, mkubwa atakavyomfanya mtoto wa mama mdogo.
Yote sawa ila game lilochezwa na hamas lazima likatengeneze biashara Holywood. Yaani jamaa wameingia njia za panya wamefanya yao na wameondoka na mateka wao daaa.
 
Oparesheni kama ile ya Entebe itafanywa halafu Qassam Brigade na Hamas itamalizwa kama ISIS watabaki kuwa kikundi cha mitandaoni tu.

IDF ilitoka Gaza na Sasa inarudi Gaza.
Nenda kasome mgogoro wa Israel na Palestine vizuri, hata Israel anawajua vizuri hamas na kwa taarifa yako huko zamani zilikuwa ni vurugu za mawe , chupa na manati ila mpaka Sasa ivi Hamas amefikia kwenye kurusha rocket na usisahau Palestine ni landlocked kwa hyo kila siku Hamas anakuwa baadala ya kurudi nyuma na kuendeleza harakati zake, mwaka 1995 walifikia hatua nzuri sana katika ya Palestine na Israel ila kwa interest tu za watu mazungumzo ya Oslo I na
Oslo II yalikwama baada ya waziri mkuu wa Israel kuuliwa, hivyo ujue huu mgogoro ni complex sana, utaifa na rasilimari ndo kila kitu kwa Israel na Palestine
 
Kumchanganya nani? Na kwa nini mkuu
Labda Russia na wenzie wanatafuta battle front nyingine with the western countries nje ya Ukraine ??!!
Vita vya Ukraine ni vita vitakavyoanzisha battle fronts nyingine sehemu mbali mbali za Dunia !!
Tusubiri China naye siku moja ataivamia Taiwan !!
Vita Kuu za Dunia huanzaga hivi hivi !!
Katika hili shambulio la Hamas dhidi ya Israel ni wazi Amerika na Israel watainyooshea kidole Iran kwamba inahusika kwahiyo itakuwa ni sababu tosha ya kuivamia Iran !!
Tusubiri tuone lakini inawezekana ninaota tu 🙏🙏 !!
 
Israel imehtukizwa na kupewa kichapo cha 5-1 ndani ya masaa 24. Inshort intelijensia yao haikungamua uwepo wa mashambulizi haya. Hata mataifa makubwa awakutegemea kusikia kilichotokea.

Kwa kichapo kilichotokea maana yake Dunia haipo salama dhidi ya mashambulizi ya kulipiza kisasa. Ni ishara kwamba dola zote duniani zinapaswa kuanza kutathimini hali za amani kwenye maeneo yao.

Ugaidi siyo jambo linalotumia miaka kufanyika ila utumia sekunde kuvuruga nchi. Israel imevamiwa, ofcos watalipa kisasi kwa kuwaua raia lakini lazima wapo watu watawajibishwa kwa kutotimiza wajibu wao.

Kibaya zaidi ni kwamba wanajeshi na Raia wa Israel wamechukuliwa mateka. Kuchukua Raia na wanajeshi mateka kunaihakikishia Palestina ushindi kwani wanaweza kutumia mateka kumfanya Israel arudishe mashambulizi nyuma.

Suala ili lina muunganiko na imani hasa huku Afrika na Tanzania. Je ndani ya Imani unaamini kati ya Israel na Palestina nani achapwe? Katika tafakuri ya wazi unaamini nani mchokozi kati ya mataifa haya mawili?

Mwisho; Tanzania tukawatoe watu wetu kwenye mataifa haya mapema.l
Sio mjuvi wa mambo haya lakini kwenye intelligence kuna mengi, unaweza kudanganywa uingie vitani ili watu wapate sababu ya kukumaliza mazima, na wanaweza kuwatoa watu wao kafara hata viongozi wa kijeshi wawli alafu wewe uliedanganywa unapoteza zaidi
 
Tusubili ndani, ya, saa, 72,zijazo,
Gaza, will never be the same again. Kama Mbabe Osama aliuliwa, kama kuku, na Arabs mpaka Leo hawajuhi, kabuli lake, subili tuone mtoto wa mama, mkubwa atakavyomfanya mtoto wa mama mdogo.
Jamani tujaribu kuitendea haki elimu tuliopewa na 'KANISA' katika kuchambua mambo, suala hapa sio Gaza itakuwaje baada ya saa 72 bali ni nini kimetokea kwa taifa la MUNGU tunalo liombea kila kukicha, taifa la sita kwa nguvu za kijeshi duniani, la kwanza kupokea msaada wa kijeshi na kiuchumi kutoka Marekani, linaloongoza kwa teknolojia za kiulinzi na kiintelijesia? kumbuka unyama huu umefanywa na kikundi cha magaidi dhidi ya nchi yenye nyuklia. Nadhani kwa sisi tusio na elimu ya 'military science' tuseme tu kweli 'vita ni vita mra' hata Urusi siku hizi wanashambuliwa hadi MSCOW!
 
Back
Top Bottom