Haya machawa yanatumia vibaya fedha za wastaafu halafu wanawapa 33% wanachukua 67% ndio wanafanyia ujinga kama huu. Ndio maana ,Mungu kaamua kuilaani hii nchi mazima.Hamuwezi amini jamani Harusi ya NANDY NA BILLNAS, MAIN SPONSOR NI NSSF.
Kweli jamani kweli hivi leo hii tumefikia NSSF kudhamini harusi ya mtu binafsi... Kwa angle ya MARKETING... that wedding what is it going to do with the fund? Yaani fund inapata nini au ina vutia nini katika moja ya packages zake za MFUKO.?
Au hawa VIJANA wazazi ni vigogo kwenye mfuko?
THIS IS IRRITATING...
View attachment 2292838
Kwako mkuu Kijakazi, EVIGT amelisema kwa lugha nyepesi sana. Ni biashara baina ya wafanya biashara na kupanga ni kuchagua. Kama unaumia kwa NSSF kuchagua Bill Nass sasa huwo wako ni wivu na wivu ni maradhi makubwa ambayo dawa yake haijagunduliwa bado.Wadau wa JF ,
Mbona swala hili ni jepesi sana halafu linapewa uzito hivi ,kadri mnavyolijadili ndivyo hawa watu wanaonekana wamefanya marketing strategic sahihi zaidi hili hamlijui tuuu.
Hapa NSSF hawapo kutangaza watu kujiunga na shirika, wanachotangaza ni mradi wa nyumba uliopo kigamboni, kujiunga NSSF utajiunga tu as longer as umepata ajira sekta binafsi hili halina mjadara, Wao kwa sasa wameweka tension kwenye huo mradi wa nyumba, sasa wakatumia nafasi ya ndoa ya hao wasanii kufanya promotion ya nyumba zao, tatizo lipo wapi?, kumbukeni hawa wasanii wamejiajili na deal kama hizi ndio moja ya faida ya kujiajili,, NSSF wanafanya biashara na wasanii nao wanafanya biashaara, sasa wafanya biashara wakikubaliana kufanya jambo lao,ujue kila mmoja kaona faida ipo ndani yake, mfanyakazi endelea kufanyakazi kwa kuwa ni wewe binafsi umeona faida ya kazi yako na wao watapata faida ya biashara zao.
Kupanga ni kuchagua..................
Wivu kwa nani sasa mkuu NUMBER 10 , mimi binafsi naona NSSF wako kwenye right track...
Ni sawa ila hawa nssf na nhc wangeelewa watanzania tusivyopenda kununua nyumba aliyijenga mwingine sisi tunapenda kujenga wenyewe.Mkuu hao NSSF wanamradi wao wa nyumba kule kigamboni so hao ni kama mabarozi wa zile nyumba sasa zile nyumba lazima zifanyiwe promotion ili zipate wateja sasa hao ni influencers wana haki ya kupata deal kama hiyo, na NSSF itawalipa kwa kumiminika wateja wa nyumba zao, mimi sioni shida hapo ,hiyo ni moja ya market strategy tuuuu
Watulipe fao letu la kujitoa na Sio kuchezea Hela zetuAcha kukariri , NSSF wana haki ya kutangaza taasisi yao popote, bila kuvunja katiba ya nchi
hahahhWatu wakanunue zile nyumba sabb ya nenga na nandy 😀😀😀
Hivi hawa wasanii wetu zaidi ya fani zao wana ushawishi kwa watu kweli
Aibu kubwa sana ! Yaani waoane wao kwa raha zao , halafu wadhaminiwe na mfuko wa wafanyakazi , wakati huo huo wao hawakuwahi kuwa hata wafagizi wa Umma !!Hamuwezi amini jamani Harusi ya NANDY NA BILLNAS, MAIN SPONSOR NI NSSF.
Kweli jamani kweli hivi leo hii tumefikia NSSF kudhamini harusi ya mtu binafsi... Kwa angle ya MARKETING... that wedding what is it going to do with the fund? Yaani fund inapata nini au ina vutia nini katika moja ya packages zake za MFUKO.?
Au hawa VIJANA wazazi ni vigogo kwenye mfuko?
THIS IS IRRITATING...
View attachment 2292838
JPM ndio alivuruga sio nssfWatulipe fao letu la kujitoa na Sio kuchezea Hela zetu
Awareness pia inaleta wanachama, kuna watu wana ajira lakini hawapo nssf na visingizio lukuki , hapa ndipo umuhimu wa kujitangaza na kuonyesha faida za nssf ulipo😂😂 kuongezeka kwa wanachama ni kwakupitia ajira mpya. Ili tangazo litachangia ajira mpya?
Inaelekea hujui hata kazi za NSSFMarketing haichagui unaingia popote watu wanapofuatialia.. nssf wapo sahihi kabisa. Hujui hapo watadaka zaidi ya wateja 2000
Samahami sijafatilia hiyo sherehe, naomba nifahamishe .Wadau wa JF ,
Mbona swala hili ni jepesi sana halafu linapewa uzito hivi ,kadri mnavyolijadili ndivyo hawa watu wanaonekana wamefanya marketing strategic sahihi zaidi hili hamlijui tuuu.
Hapa NSSF hawapo kutangaza watu kujiunga na shirika, wanachotangaza ni mradi wa nyumba uliopo kigamboni, kujiunga NSSF utajiunga tu as longer as umepata ajira sekta binafsi hili halina mjadara, Wao kwa sasa wameweka tension kwenye huo mradi wa nyumba, sasa wakatumia nafasi ya ndoa ya hao wasanii kufanya promotion ya nyumba zao, tatizo lipo wapi?, kumbukeni hawa wasanii wamejiajili na deal kama hizi ndio moja ya faida ya kujiajili,, NSSF wanafanya biashara na wasanii nao wanafanya biashaara, sasa wafanya biashara wakikubaliana kufanya jambo lao,ujue kila mmoja kaona faida ipo ndani yake, mfanyakazi endelea kufanyakazi kwa kuwa ni wewe binafsi umeona faida ya kazi yako na wao watapata faida ya biashara zao.
Kupanga ni kuchagua..................
NSSF wametoa ufafanuzi wa Kwanini wamedhamini ndoa ?kama hujasikia maelezo yao hauoni utakuwa unalalamikia kitu ambacho hujui kimefanyika kwa sababu gani...Inaelekea hujui hata kazi za NSSF
Kwa taarifa yako huo ni Mfuko wa pension na hupo kisheria ambapo ni lazima Kwa kila mwajiri wa sekta binafsi apeleke michango kila mwezi.
Asipopeleka anashtakiwa
Mfuko huo upo pekeyake na wala hauna mshindani
Hakuna suala la wateja ni lazima kuchangia.
Kama NSSF wametoa fedha kudhamini hiyo sherehe ni ufisadi
KikokotooHamuwezi amini jamani Harusi ya NANDY NA BILLNAS, MAIN SPONSOR NI NSSF.
Kweli jamani kweli hivi leo hii tumefikia NSSF kudhamini harusi ya mtu binafsi... Kwa angle ya MARKETING... that wedding what is it going to do with the fund? Yaani fund inapata nini au ina vutia nini katika moja ya packages zake za MFUKO.?
Au hawa VIJANA wazazi ni vigogo kwenye mfuko?
THIS IS IRRITATING...
View attachment 2292838
Dah!...walipe mafao ya watu kwanzaLabda wana package ya bima ya ndoa,ndo wameanzia hapo
Nilipo bold unaniuliza halafu unajijibu mwenyewe sikuelewi.NSSF wametoa ufafanuzi wa Kwanini wamedhamini ndoa ?kama hujasikia maelezo yao hauoni utakuwa unalalamikia kitu ambacho hujui kimefanyika kwa sababu gani...
I mean NSSF hawawezi kufanya kitu kisicho kuwa na faida kwao hebu jifikirie tu bilnass ni nani hasa hadi udhani NSSF watoe tu Hela bila wao kufaidika
hahahahahaDah!...walipe mafao ya watu kwanza