mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Uko sahihi mkuu, kabla sijawa atheist nilikua mkristo, ile objective morality ya kikiristo na societal biases za kiafrica ndo zimenisukuma kuchukia ushoga.Deduct to me how objective morality or even societal biases prove that homosexuality is wrong.
Kwahiyo utapingana na amri na muongozo wa papa?kwa hapa bongo bado sana! Unadhani ni padri gani mbongo atafungisha ndoa ya mashoga na masagaji kwa sasa? Ikitokea itabidi tukajazane kanisa hilo tukashangae tu wanaume kwa wanaume, wanawake kwa wanawake wakifungishwa ndio kama hakutakuwa na ulinzi wa polisi tutafanya fujo hiyo ndoa ya ajabu isifungwe
Sema epuka papa na RC yenu.Ndoa ni kati ya mtu mume na mtu mke fullstop, hayo ndiyo mafundisho tanzu ya kanisa katoliki tangu karne ya kwanza. Epuka matapeli.
Mwili siyo mali yako usijichukulie poa wewe ni mali ya serikali kama unabisha jaribu kujinyonga uone kitakachokupata labda ufe.[emoji1787][emoji1787] Fujo ya nini sasa watu wamependana wenyewe wewe unaumia moyo! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hainiathiri n mapenzi yake mwenyeweoooh haikuathili??
vip akiwa anafanywa baba yako mtoto wako wa kiume au kaka yako?
bado haikuathili?
Namjua ni mtetezi mkuu wa LGBT ngoja tuone Kama atajibu Kama atafurahishwa baba yake akiwa ndani ya shera anaolewa na mwanaume mwingineHuyo dogo punga analiwa ndio hao hao.
Mi nimesema tuko mwishoniBado sana my dear, tutangojea sana huo mwisho sio wa leo wala kesho
tusubiri, labda papa atakanusha(labda)Unajua zamani wakati wanatoa sadaka za kafara hekaluni kuna ishara huwa zilikuwa zinatokea wanatoka hapo wanafahamu kabisa kwamba either sadaka imekubaliwa au imekataliwa, kuna kuwa na relief flani moyoni.
Sasa hv tupo kweny new testament hamna hilo jambo, unaomba tuu then unabaki unaamini umesamehewa, inakuwa kama "Sintofahamu" ni ngumu kweli kwa mtu mweny imani ndogo.
New testament inahitaji msuli wa imani, ndo maana yesu akasema "Tangu enzi za yohana mpaka sasa ufalme wa mbinguni ni wa nguvu na wenye nguvu wataurithi"
Alichoomaanisha hapo ni kwamba, sawa hamtakuwa na burden ya kuchinja kondoo na kutoa sadaka za kafara, mm nitafanyika kafara lakini mtakula chuma.
Vitisho tena ππ jadili azimio la papa tafadhali ππMwili siyo mali yako usijichukulie poa wewe ni mali ya serikali kama unabisha jaribu kujinyonga uone kitakachokupata labda ufe.
Hautishiwi ni sheria za nchi ndio zinasema hivyoVitisho tena ππ jadili azimio la papa tafadhali ππ
Poleeee, pope ndo kashasema sasa.Mnataka kutuharibia watoto wa kiume hii haikubaliki hata kidogo.
What does this emanHatimaye Kanisa katoliki kupitia Papa Francis leo December 18 ameruhusu ubarikiwaji wa ndoa za jinsia moja.
Maana yake ni kwamba kuanzia sasa mashoga watakuwa wanaenda kanisani kufunga ndoa.
Wakatoliki wa kibongo na washauri mtoe tamko la kupinga haya mambo la sivyo tutajua na nyie mnaunga mkono.
View attachment 2846355
Sidhani kama kanisa iwe la afry Tanzania ama jimbo kujitenga na kiti cha papa!Hatimaye Kanisa katoliki kupitia Papa Francis leo December 18 ameruhusu ubarikiwaji wa ndoa za jinsia moja.
Maana yake ni kwamba kuanzia sasa mashoga watakuwa wanaenda kanisani kufunga ndoa.
Wakatoliki wa kibongo na washauri mtoe tamko la kupinga haya mambo la sivyo tutajua na nyie mnaunga mkono.
View attachment 2846355
Vizuri kama atukua na moyo wa kushuhudia baba Yako anaolewa na mwanaume mwingine au mwanao wa kiumeHainiathiri n mapenzi yake mwenyewe
Mbna pambeee uduguuu, afu twende dukani nkakuchagulie shela nzuri wizooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nasemajee, ndoa ipooo atake asitakeee
Mapema alfajiri mimi na mume wangu Extrovert tunabarikiwa ndoa yetuu [emoji85][emoji85][emoji85][emoji85] pambejee udrugu akee [emoji23][emoji23]
Haituhusu wafir.ane wenyewe huko makanisani watuachie vijana wetu sisi tusije kukosa jeshi bure huko baadae.wajae wavaa pampas.Poleeee, pope ndo kashasema sasa.
Ongezaa sautiii wizoooPokea posaa acha mbambambaa, mwanao anapenda dudu usimnyime. [emoji1787]