Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

Deduct to me how objective morality or even societal biases prove that homosexuality is wrong.
Uko sahihi mkuu, kabla sijawa atheist nilikua mkristo, ile objective morality ya kikiristo na societal biases za kiafrica ndo zimenisukuma kuchukia ushoga.

Na vile ushoga bado hauwezi kutetewa kwa hoja za kimantiki nitasimama hapo hapo, lakini sitoacha kuonesha ile kasumba kwamba Mungu anachukia ushoga ila haingilii kati.

Nimemaliza ubishi.
 
kwa hapa bongo bado sana! Unadhani ni padri gani mbongo atafungisha ndoa ya mashoga na masagaji kwa sasa? Ikitokea itabidi tukajazane kanisa hilo tukashangae tu wanaume kwa wanaume, wanawake kwa wanawake wakifungishwa ndio kama hakutakuwa na ulinzi wa polisi tutafanya fujo hiyo ndoa ya ajabu isifungwe
Kwahiyo utapingana na amri na muongozo wa papa?
 
[emoji1787][emoji1787] Fujo ya nini sasa watu wamependana wenyewe wewe unaumia moyo! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwili siyo mali yako usijichukulie poa wewe ni mali ya serikali kama unabisha jaribu kujinyonga uone kitakachokupata labda ufe.
 
New world order 666. Mpinga kristo anaanza kujionesha hadharani. Siku za mwisho. Biblia imetabiri yote haya.
 
Unajua zamani wakati wanatoa sadaka za kafara hekaluni kuna ishara huwa zilikuwa zinatokea wanatoka hapo wanafahamu kabisa kwamba either sadaka imekubaliwa au imekataliwa, kuna kuwa na relief flani moyoni.

Sasa hv tupo kweny new testament hamna hilo jambo, unaomba tuu then unabaki unaamini umesamehewa, inakuwa kama "Sintofahamu" ni ngumu kweli kwa mtu mweny imani ndogo.

New testament inahitaji msuli wa imani, ndo maana yesu akasema "Tangu enzi za yohana mpaka sasa ufalme wa mbinguni ni wa nguvu na wenye nguvu wataurithi"

Alichoomaanisha hapo ni kwamba, sawa hamtakuwa na burden ya kuchinja kondoo na kutoa sadaka za kafara, mm nitafanyika kafara lakini mtakula chuma.
tusubiri, labda papa atakanusha(labda)
 
Hatimaye Kanisa katoliki kupitia Papa Francis leo December 18 ameruhusu ubarikiwaji wa ndoa za jinsia moja.

Maana yake ni kwamba kuanzia sasa mashoga watakuwa wanaenda kanisani kufunga ndoa.

Wakatoliki wa kibongo na washauri mtoe tamko la kupinga haya mambo la sivyo tutajua na nyie mnaunga mkono.

View attachment 2846355
What does this eman

Blessing same sex couple au marriages?

Uhuni huu
 
Hatimaye Kanisa katoliki kupitia Papa Francis leo December 18 ameruhusu ubarikiwaji wa ndoa za jinsia moja.

Maana yake ni kwamba kuanzia sasa mashoga watakuwa wanaenda kanisani kufunga ndoa.

Wakatoliki wa kibongo na washauri mtoe tamko la kupinga haya mambo la sivyo tutajua na nyie mnaunga mkono.

View attachment 2846355
Sidhani kama kanisa iwe la afry Tanzania ama jimbo kujitenga na kiti cha papa!
Sijui lakini , ila natumaini kanisa liliwahi kupita kwenye changamoto ya kiimani kuliko hii na liliweza kuvuka, naamini hili nalo litapita na kanisa litabaki.
Maybe kuwe na agenda nyingine huko vatikani.
 
Hainiathiri n mapenzi yake mwenyewe
Vizuri kama atukua na moyo wa kushuhudia baba Yako anaolewa na mwanaume mwingine au mwanao wa kiume
Najua unaongea Kwa sababu ni kwenye mitandao Lakini in reality unamuomba Mungu akuepushe na ilo jambo
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nasemajee, ndoa ipooo atake asitakeee

Mapema alfajiri mimi na mume wangu Extrovert tunabarikiwa ndoa yetuu [emoji85][emoji85][emoji85][emoji85] pambejee udrugu akee [emoji23][emoji23]
Mbna pambeee uduguuu, afu twende dukani nkakuchagulie shela nzuri wizooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom