Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

Hii italeta utata na changamoto kubwa sana kwa waumini na wafuasi wake.
Hamna Kanisa lenye waumini Wapuuzi,I na mbumbumbu Kam RC,

Kesho wataambiwa Papa alinukuliwa vibaya, na wanaamini.

Nadhan umbumbumbu wa kiroho na akili wa waroman ni matokeo ya Mfumo wa Kanisan (Vatican) kuhakikisha kwamba Waumin wanakua wajinga, mjinga ni rahisi kuongozwa.
 
RC anataka kulazimisha na kuchochea Kwa uharaka, ujio wa YESU Mara ya pili.

RC kupitia Jesuits wake, wakamuunga Mkono Hitler ili Kufuta kizazi Cha wayahudi.


Ndio haohao Leo wanunga mkono magaidi wa Hamas.
 
Kama ni kweli basi huyo papa atakuwa chocolate pia
 
Mnalipwa hela nyingi sana ili kueneza huu ushetwani ila hamtaweza nakuhakikishia. Kapigeni promo huko huko ulipoanzia.
Sasa kama taifa teule wanalolitetea humu kwao ni ruksa kufirana na wanapata thawabu, pia biblia imeshawapiga biti mkiwalaani na nyinyi mtalaaniwa na mkiwabariki nanyi mwabarikiwa Papa kaona isiwe kesi kawapa go ahead ili na wao wote wapate baraka za chosen people.
 
Mnaopinga mapenzi ya jinsia moja hamna sababu ya msingi zaid ya itikadi Kali za kidini... Napinga ubaguzi, we kama mtu mweusi ukibaguliwa kwa sababu ni mweusi utafurahi?
 
Sidhani kama bado tuko Kwenye nyakati za Manabii wa Ukweli' kwa Sababu dalili zote zinaonyesha Ule Mwisho wa Ulimwengu huu umekaribia

Tunaishi katika Nyakati ngumu sana Joshua Mollel kachinjwa kama ngamia

Kana Kwamba hiyo haitoshi Papa Francisco anayeketi kitini pake mtume Petro anahalalisha Ndoa za Jinsia Moja, Watoto wetu wamekwisha

Ghadhabu ya Mungu wa mbinguni itakuwa Zaidi ya Sodoma na Gomola

Na Nchi zinazoishi kwa Mikopo Ndoa za Jinsia Moja zaweza Kuwa Sharti la kukopesheka

Mungu wa mbinguni Uturehemu Sisi!
 
Kwahiyo utapingana na amri na muongozo wa papa?
kwani mapadri wa kibongo wakiamua kumgomea papa atawafanya nini? Akiwafukuza ushirika wakianzisha catholic church of tanzania na kupata usajili humu humu bongo atawashitaki wapi? Kwanza wako wapi hao mashoga ya kufunga ndoa humu bongo? Harakati zenyewe za ushoga bongo hatuzioni kama uganda na kenya. Achana na mashoga wale walio trend kwenye magazeti ya udaku mwanzoni mwa miaka ya 2000 tuliokuwa tunawashangaa kwa jinsi walivyokuwa wanajiremba na kupendeza kama wanawake, naambiwa wa siku hizi hawajirembi wako kama walivyo na unaweza usiwajue kama ni mashoga. Labda yakifungishwa ndoa yatavaa mashela na kurembwa kama wanawake tunasubiri vituko hivyo tuone kama hatutaleta fujo huko watakapofungishwa ndoa zao
 
Kwahiyo utapingana na amri na muongozo wa papa?
kwani mapadri wa kibongo wakiamua kumgomea papa atawafanya nini? Akiwafukuza ushirika wakianzisha catholic church of tanzania na kupata usajili humu humu bongo atawashitaki wapi? Kwanza wako wapi hao mashoga ya kufunga ndoa humu bongo? Harakati zenyewe za ushoga bongo hatuzioni kama uganda na kenya. Achana na mashoga wale walio trend kwenye magazeti ya udaku mwanzoni mwa miaka ya 2000 tuliokuwa tunawashangaa kwa jinsi walivyokuwa wanajiremba na kupendeza kama wanawake, naambiwa wa siku hizi hawajirembi wako kama walivyo na unaweza usiwajue kama ni mashoga. Labda yakifungishwa ndoa yatavaa mashela na kurembwa kama wanawake tunasubiri vituko hivyo tuone kama hatutaleta fujo huko watakapofungishwa ndoa zao
 
Gibberish
 
Akili ya papa inachangiwa na uzee pia inapaswa awe controlled
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…