Anashangaza kwa kweliii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu wanapiga safari za kwenda mwezini, kuishi Mars na kuchunguza galaxies nyingine wewe umejikita katika hadithi za dini na ushoga.
Mkuu Tayana,Mi nimesema tuko mwishoni
Ila hakuna ajuae siku wala saa!
Ila tuko nyakati ya 7, kanisa la 7!
Ss ni lini sijui 🤷
Ni anytime,usijipe matumaini kwamba Bado sana ndo maana tumeambiwa tukeshe,tujiweke tayari
tumekusikia mbarikiwaMleta mada usiwaite mashoga, ni neno la chuki.. Waite wapenzi wa jinsia Moja.
Kwa hiyo avatar Yako hauwezi kushangaa kwenda mwezini kwa Yoda anakosimuliaAnashangaza kwa kweliii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sidhani kama bado tuko Kwenye nyakati za Manabii wa Ukweli' kwa Sababu dalili zote zinaonyesha Ule Mwisho wa Ulimwengu huu umekaribia
Tunaishi katika Nyakati ngumu sana Joshua Mollel kachinjwa kama ngamia
Kana Kwamba hiyo haitoshi Papa Francisco anayeketi kitini pake mtume Petro anahalalisha Ndoa za Jinsia Moja, Watoto wetu wamekwisha
Ghadhabu ya Mungu wa mbinguni itakuwa Zaidi ya Sodoma na Gomola
Na Nchi zinazoishi kwa Mikopo Ndoa za Jinsia Moja zaweza Kuwa Sharti la kukopesheka
Mungu wa mbinguni Uturehemu Sisi!
Mkuu tupe madini, kwanini unasema hivyo?RC Kanisa la kimafia, Kanisa hatari sana linalofanya kazi ya Shetani.
Leo hii vita ya URUSI Ukraine,
Vita ya Wayahudi -Warabu,
Mizozo yote Dunian ni Kwa sababu ya Hili Kanisa !!.
Nimeona nyuzi mbili hapa Jf mojawapo ikiwa ni ya bwashee ChoiceVariable wa Ubaruku, MbeyaWeka hilo tangazo la Papa kuruhusu ndoa za jinsia moja.
Hilo tangazo limetolewa lini? Mbona hatujasikia? Taarifa pekee inayojulikana ni kuwa Papa alitamka kuwa Kanisa lisiwatenge watu wa jinsia moja wanaoishi pamoja. Alisema hakuna ndoa ya jinsia moja. Kanisa ni la watu wakosefu wanaoomba msamaha kwa Mungu.
Nisije nikatukanaMaamuzi sahihi kabisa, wapenzi wa jinsia Moja ni binadamu kama wengine. Wanastahili kuishi kwa uhuru.
Nimeiona bbc.Fake news hizo wewe
Hakuna ajuaye siku wala saa. Hata malaika wa mbinguni hawajui, isipokuwa Baba wa mbinguni.Yesu alisema kizazi hiki hakitapita bila kuushuhudia mwisho, badala yake vimeshapita vizazi na vizazi.
Zile propaganda za mwisho wa dunia wakati tunaendea mwaka wa 2000 leo zaidi miaka 20 imepita.
Kiufupi kabariki ushoga waendelee kugongwa nyuma, hujaelewa nini?Kubariki couples ndio kubariki ndoa?
Luka 20:9-26Sidhani kama bado tuko Kwenye nyakati za Manabii wa Ukweli' kwa Sababu dalili zote zinaonyesha Ule Mwisho wa Ulimwengu huu umekaribia
Tunaishi katika Nyakati ngumu sana Joshua Mollel kachinjwa kama ngamia
Kana Kwamba hiyo haitoshi Papa Francisco anayeketi kitini pake mtume Petro anahalalisha Ndoa za Jinsia Moja, Watoto wetu wamekwisha
Ghadhabu ya Mungu wa mbinguni itakuwa Zaidi ya Sodoma na Gomola
Na Nchi zinazoishi kwa Mikopo Ndoa za Jinsia Moja zaweza Kuwa Sharti la kukopesheka
Mungu wa mbinguni Uturehemu Sisi!
Ukithibitisha kauli hiyo kaitoa Yeye,
Kimbia kama vile umeona bomu nyumbani mwako lisiloripuka Bado,
Kusubiri uyaone kwenye parokia Yako, utakuwa sawa tu na waumini wa Zumaridi!!