Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

Pole sana Mkuu.

HII NDIO DUNIA NA INA MAMBO YAKE YA KUSHANGAZA.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Hivi nyie mbilimbi kwann mnaandika uongo wa kipumbavu?

Ni nani aliyewaroga?
 
Huko tunakoelekea sasa hivi ukimuita mtu mbarikiwa anaweza akakupiga hata ngumi ya uso.
Ila na nyinyi ndugu zetu punguzeni uzwazwa basi kuna mambo mengine ni kazi yake mwenyewe Mungu na sio binadamu, yaani kabisa unamuomba binaadamu mwenzako akufutie madhambi na akubariki?
 
Onyesha ni wapi wezi wana barikiwa kuwa wezi au walevi wana barikiwa kwa ulevi wao
Kubarikiwa ni kama kuombewa tu, papa kasisitiza kanisa ni kwa ajili ya wenye dhambi wanaokuja kutakaswa so hawafukuzwi bali wanabadilishwa.

Najua lugha ni tatizo ila soma hii excerpt
“When people ask for a blessing, an exhaustive moral analysis should not be placed as a precondition for conferring it,” the declaration, authored by Cardinal Fernandez and another official, states. “The grace of God works in the lives of those who do not claim to be righteous but who acknowledge themselves humbly as sinners, like everyone else.”

Source: CNN News
 
Hivi nyie mbilimbi kwann mnaandika uongo wa kipumbavu?

Ni nani aliyewaroga?
bro ukweli mchungu unamezwa kwa fundo la konyagi! Ukitaka kuumeza bila chakusukumia utakuniga...tafuta kwanza kimiminika hicho then tuendelee na story
 
WAZO TU!
Screenshot_2023-12-19-05-47-55.png
 
Vipi kuoa kwa mapadre na masista kuolewa? Si nidhambi ama?
Vipi ndoa ya mke zaidi ya mmoja bado ni dhambi?
Laana inawasumbua wakristo feki waliopo leo duniani wanachuja mbu na kumeza ngamia ....ndiyo maana ya haya maandiko "chukizo la uhalibifu lililo simama patakatifu"
 
usenge ulio pitiliza japo siwezi kumlau huyo papa kwa sabab hizi dini ni tamadumi zao Hawa wanajali Zaid jumuiya za uko ulaya na America hawajali chochote kuhusu wa Africa wala Latin America japo sisi ndio tumekumbatia hizi dini zao

am very ashamed to be RcView attachment 2846573
Ukisikia mtu yoyote yupo kwenye madhehebu yoyote ya dini ujue huyo ni mpumbavu hata kama ni wewe au baba yako au mama yako mzazi ....ni mpumbavu na mafiii ya bata kabisa huyo mtu.
 
Sisi hatuna utamaduni huo, huo ni utamaduni wa wazungu na huyo papa.
Unadanganya kaka, wapenzi wa jinsia moja wapo tangu hata wazungu hawajaja afrika, na wataendelea kuwepo, ndo maana kila nchi hata zenye misimamo mikali ya kidini wapo. Wapenzi wa jinsia moja wanazaliwa ivyo walivyo, ndo maana sioni sababu ya kuwabagua
 
Back
Top Bottom