Tuwekee hiyo habari hapa tafadhali. Imefanyika wapi ? Tupe habari kamili tuisome
 
Hii ya kutowatenga ili tuwaelimishe,hata wezi pia watataka hiki kipengele kiwepo ili wasiuwawe sasa.
 
Bro hii mada imeletwa na wanaharakati ili kuuponda ukristo!!!Kwani wewe wsnaharakati húwajui mitazamo yao kuhusu imani za watu wengine!!
 
Kiongozi wa kanisa katoliki Duniani Papa Francis amekemea sheria zote zinazopinga ushoga na kusema hizo sheria sio za haki kwani Mungu anawapenda watu wake wote bila ubaguzi, bila kujali kama ni mashoga au lah.

Soma mwenyewe hapa.
Kamandivyo kwanini sodoma na gomora akazichoma moto?, (Anyway sodoma na gomora ilikuwa ni volcano eruption)
 
Uzinzi ni dhambi kubwa sawa na ushoga nashangaa watu wanafanya Uzinzi then wanaona sio dhambi hizi nchi za Dunia ya tatu zina wajinga wengi ktk Mambo ya dini.
Point kubwa sana hii inalingana na Ile ya wazee wa kobazi mtu akila Nguruwe inakuwa kosa kubwa sana ila akizini anaonekana kama shababi.
 
Hao wenye ilo dhehebu nao wapigwe moto.ushoga ni ushoga tu akuna kuupaka mafuta.wote kibiriti.
 
Koku ushawahi kukaa pemba ambapo majority ni waislamu!!!!Kakae kwanza afu uandike hivyo!!!!Au maisha gani ya kawaida unayosema wewe???
Huko si ndo tabia yao kabisa. Unaambiwa ni rahisi sana kumkuta wadada bikra lakini marinda siku nyiiiingu.
Vijana ndo usiseme

Unajua haya mambo hufanywa sirini ndo maana tuna ujasiri wa kukemea sbb hakuna anayeweza kusoma siri zetu.


Lakini ushoga na ufirauni unafanywa na watu wote wa dini zote na madhehebu yotee tu.

Heri yao walioamua kwa moto wakajidhihirisha. Kuliko sisi tunaokemea humu lakini nafsi zetu zinatusuta ndani kwa ndani maana tuna fi.ra na tunalawiti


Papa ameongea uhalisia wa maisha ya watu kwa sasa. Ushoga na ufirauni ni dhambi kama dhambi nyingine.

Lakini jee? Ni nchi ngapi zina sheria ya kuhukumu watu wa kariba hiyooo.


Kila mtu kwa dini yake tulie sana na kumuomba Mungu. Otherwise we are doomed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…