Tuwekee hiyo habari hapa tafadhali. Imefanyika wapi ? Tupe habari kamili tuisomeTayari imesharipotiwa tukio la ndoa ya jinsia moja ndani ya kanisa katoliki mwaka jana 2022. Haya ni matunda ya kuwakumbatia mashoga, hawafukuzwi kanisani lakini hawapaswi kuonesha kuwasapoti hadi kufikia ndoa.
Na kauli kama hizi zinawafanya hao mashoga kuwa na nguvu na kuona ni haki yao kuishi hivyo( ni dhambi kama ulivyosema) dhambi haikumbatiwi inakemewa na kutokomezwa.
dhambi haikumbatiwi inakemewa na kutokomezwa.
Koku ushawahi kukaa pemba ambapo majority ni waislamu!!!!Kakae kwanza afu uandike hivyo!!!!Au maisha gani ya kawaida unayosema wewe???Kwenye maisha ya kawaida
Wasabato na waislamu hawafanyi huu ufiraunii?
Wanaume?Ni wapanganji wang hawa
Hii ya kutowatenga ili tuwaelimishe,hata wezi pia watataka hiki kipengele kiwepo ili wasiuwawe sasa.Uharifu Vs Dhambi
Amesema siyo uharifu ila ni dhambi.
Ni kipi kigumu kukielewa hapo? Pia huo umekua msimamo wa Kanisa miaka mingi kwamba wasitengwe bali wainyeshwe upendo ili wawwze kuyatambua makosa yao.
Maadam ni Wadhambi, Kanisa lina wajibu juu yao, na si kuwatenga. Lina wajubu wa kuwafundisha na kuwaelekeza ukweli.
Kupigania watambulike, waheshimike na wawe na haki zao zinazotambulika kisheria. Ata mchango wako wa mawazo unaweza kuonesha hiloKusapoti ushoga ndio kukoje?
Unawatenga vipi?Hii ya kutowatenga ili tuwaelimishe,hata wezi pia watataka hiki kipengele kiwepo ili wasiuwawe sasa.
Shida iko wapi?Kupigania watambulike, waheshimike na wawe na haki zao zinazotambulika kisheria. Ata mchango wako wa mawazo unaweza kuonesha hilo
Nitaileta nitaitafuta hata kama si apa ntakuwekea PMTuwekee hiyo habari hapa tafadhali. Imefanyika wapi ? Tupe habari kamili tuisome
Iweke hapa.Nitaileta nitaitafuta hata kama si apa ntakuwekea PM
Sina database ya mashoga boss. Ni ngumu kujua dini zao.Kwenye maisha ya kawaida
Wasabato na waislamu hawafanyi huu ufiraunii?
Unaulizwa swali badala ya kujibu unauliza naweweShida iko wapi?
Bro hii mada imeletwa na wanaharakati ili kuuponda ukristo!!!Kwani wewe wsnaharakati húwajui mitazamo yao kuhusu imani za watu wengine!!Huwa sichangii topics ambazo watu hutumia hisia zaidi kuliko akili Ila nitajibu kwa huu upotoshaji unaofanywa na hii thread
Papa hajasema ushoga sio dhambi na hana mamlaka hiyo ya kuihalalisha dhambi maana ukisema anayo bhasi utaamini papa yupo juu ya mamlaka ya Mungu, kitu ambacho si kweli
Ila kitu alichomaanisha
"Kila uhalifu ni dhambi Ila si kila dhambi ni uhalifu"
Ndio maana hata wewe upo huru kuisaliti ndoa yako utakavyo pasipo dini kusema upigwe mawe kwa sababu si uhalifu
Kingine Mungu aliiteketeza sodoma na Gomorah kwa sababu ya homosexuality lakini gharika ya Mungu iliteketeza kila mtu. hata Yona alitumwa kuwahubiria watu wa ninawi kuwa hasira ya Mungu ipo juu yao na mji ungeteketezwa
Hivyo, utaona kuwa HASIRA YA MUNGU IPO KATIKA KILA UHARIBIFU NA UCHAFU TUNAOUFANYA
Na kama haitoshi, biblia ikaainisha wazi kuwa ni dhambi gani isiyosameheka
M A R K O 3:28-29 “Amin, nawaambia, Dhambi zote watasamehewa wanadamu, na kufuru zao watakazokufuru zote; bali mtu atakayemkufuru Roho Mtakatifu hana msamaha hata milele; ila atakuwa ana dhambi ya milele”.
Hivyo, wewe mzinzi, mlevi, msengenyaji, mwizi na kila aina ya dhambi, HASIRA YA MUNGU IPO JUU YETU SOTE lakini Mungu kwa rehema zake, wote ni wake na tunastahili msamaha wake tukijinyenyekeza na kufanya toba
Hivyo,kwa kauli hii, papa hajakosea 🙏🏽🙏🏽
Kamandivyo kwanini sodoma na gomora akazichoma moto?, (Anyway sodoma na gomora ilikuwa ni volcano eruption)Kiongozi wa kanisa katoliki Duniani Papa Francis amekemea sheria zote zinazopinga ushoga na kusema hizo sheria sio za haki kwani Mungu anawapenda watu wake wote bila ubaguzi, bila kujali kama ni mashoga au lah.
Soma mwenyewe hapa.
Point kubwa sana hii inalingana na Ile ya wazee wa kobazi mtu akila Nguruwe inakuwa kosa kubwa sana ila akizini anaonekana kama shababi.Uzinzi ni dhambi kubwa sawa na ushoga nashangaa watu wanafanya Uzinzi then wanaona sio dhambi hizi nchi za Dunia ya tatu zina wajinga wengi ktk Mambo ya dini.
Hao wenye ilo dhehebu nao wapigwe moto.ushoga ni ushoga tu akuna kuupaka mafuta.wote kibiriti.Bora yeye kawa muwazi kuliko lile dhehebu ambalo kila alhamis wanasema ni halal wanawake kuliwa ndogo na pia kuruhusu wanaume kujiremba kwa kupaka hena kama wanawake sasa hapo hakuna tofauti na ushoga au huijui kaka hiyo dini?????!!!Bora papa kawa muwazi
Huko si ndo tabia yao kabisa. Unaambiwa ni rahisi sana kumkuta wadada bikra lakini marinda siku nyiiiingu.Koku ushawahi kukaa pemba ambapo majority ni waislamu!!!!Kakae kwanza afu uandike hivyo!!!!Au maisha gani ya kawaida unayosema wewe???
Masenge utayajua tuu.Papa kaongea vizuri sana tatizo wenye akili fupi ndio mtigwagha .
Huwajui kaka?????Wanasema suna na imani zao zinawaruhusu kabisaHao wenye ilo dhehebu nao wapigwe moto.ushoga ni ushoga tu akuna kuupaka mafuta.wote kibiriti.
kakosea.yeye kama kiongozi wa dini kwenye swala la ushoga alitakiwa asimame kwenye imani tu,ushoga ni dhambi.full stop.Ni sawa. Na ameongea ukweli. Sio uhalifu bali ni dhambi. Kakosea wapi?