MIHULU
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 359
- 495
Watu wanazini tangu kuumbwa kwa Dunia ,,makahaba wapo kabla ya Yesu ,,sawa NI dhambi Ila ,,Mungu hakuuvumilia UFIRAJI NDO MAANA ALICHOMA SODOMA NA GOMORAUzinzi ni dhambi kubwa sawa na ushoga nashangaa watu wanafanya Uzinzi then wanaona sio dhambi hizi nchi za Dunia ya tatu zina wajinga wengi ktk Mambo ya dini.