Shika Ushoga ni Uhalifu namba 1

Kuna ajenda ya kuwafanya wanaume wawe mashoga.

Huu ni uhalifu namba 1.
Na ni Dhambi
 
Usipomtenga mdhambi ataachaje dhambi sasa.
Lazima atengwe Ili ajutie dhambi zake aone aibu afanye toba arudi kundini.
Thus mchawi ufukuzwa kijijini akiacha uchawi uruhusiwa kurejea.
Wewe mbona mfiraji na haujatengwa?
 
Kwa unakubali kusali na mashoga pamoja? Wakiwa wamevaa nguo za kike huku wanaume
 
Sijui anacho bisha nini,jengo lipo nyuma pale ya ifm hakuna sehemu wameweka ni kanissoy
Boss unajua kiukweli % kubwa ya vijana huwa hatuwezi kufanya uchakataji taarifa. Mimi jamaa nashangaa ananiambia kuna kanisa LA FREEMASON na anakazana kabisa. Ni kutojua tu tumsamehe
 
Upo sahihi Queen Virgo,
Kuna Watu hawajui umuhimu wa Midahalo kama ni kujifunza na kuongeza vitu vipya bali wao hudhani ni kwa ajili ya mabishano na vita.
 
Papa hajataka kuhukumu. Na neno lake sio sheria maana na yeye ni binadamu sio Mungu. Yeye ni kiongozi wa kanisa lakini sio mwanzilishi wa kanisa. Kanisa limejengwa na Yesu Kristo mwenyewe sio na Papa
Wakati yeye ndiye baba mtakatifu hana dhambi
 
Upo sahihi Queen Virgo,
Kuna Watu hawajui umuhimu wa Midahalo kama ni kujifunza na kuongeza vitu vipya bali wao hudhani ni kwa ajili ya mabishano na vita.
sasa angalia hiyo statement aliyoandika kwamba ushawahi kuwauliza wana kanisa? Hivi nitakuwa na akili kwenda kuuliza sehemu imeandikwa freemason HALL kwamba mna kanisa embu nisaidie kwenye hili au mimi uelewa wangu finyu?
 
Kwa hiyo wanaruhusiwa kuingia kanisani na kusali
 
Duuh sipati picha ushoga uruhusiwe, kudadeki ntaanza kutembea na mafyekeo mfukoni, dume lenzangu lije linitongoze nafyekelea mbali pumbaf na nusu *****
Sura yenyewe huna, mvuto huna. Uso una makunyanzi mixer KIPARA kama cha mkapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nani akutongoze bhana wewe!
 
Kwenda zako huko, yaani unawatetea mashoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…