Papa amesema ushoga sio dhambi kwa maana kubwa amehalalisha

Waroma woyooooo
Bora KKKT yangu migogoro ila ushoga noo
 
Nitumie nafasi kuwakaribosha waroma kanisa kwetu KKKT

Sisi kwetu ushoga ni dhambi.

Na inayokana na msingi wa kibiblia kabisa

Njoo Lutheran ujifunze neno la Mungu na tuishi humu
 
Kama sio kosa, uhalifu, lakini ni dhambi, sasa kosa na uhalifu sio ni aina ya dhambi? Sasa yeye kazi yake sio kuwaelekeza hao mbinguni? Je, anachukua hatua gani dhidi ya dhambi hiyo? Hivi Yesu wa Nazareti wakati akiwa duniani alilishughulikia suala ili kivipi?

Hivi ile ya Sodoma na Gomola (kama ni kweli) kulikuwa hakuna serikali au serikali kama ilikuwepo ilihalalisha suala hilo?

Nature inaonesha vitendo hivyo sio sahihi. Halafu kuna sayansi inachochea mambo hayo, badala ya kuwa na sayansi ya kuzuia mambo hayo.
 
Vuta picha kama kiongozi yoyote wa kiislam kutoka sehemu yoyote Duniani kama angetoa Tamko hili waislam wangechukua hatua gani mpaka muda huu,
Kuna tofauti kubwa kati ya dini za watu na dini ya Mungu

Huyo ni kiongozi wa kiislamu pia ila wewe HUWEZI kujua

ASOMAYE na AFAHAMU.
 
HILI NI KANISA LA SHETANI LIMEANDIKWA KWENYE UFUNUO 17
ASOMAYE NA AFAHAMU.

Hawa Hawa ndio waliomuingiza mtume chka na KUSHUSHA kitabu Chao.

Wanashare.
Ubani.
Hudi.
KOFIA.
ROZALI.
.

Mwanamke (yule Babeli) wa Ufunuo 17 anaelezwa kuwa

“alikuwa amevikwa nguo ya rangi ya zambarau, na nyekundu, amepambwa kwa dhahabu, na kito cha thamani, na lulu, naye alikuwa na kikombe cha dhahabu mkononi mwake, kilichojawa na machukizo, na machafu ya uasherati wake. Na katika kipaji cha uso wake alikuwa na jina limeandikwa, Siri [2 The. 2:7], Babeli Mkuu, Mama wa Makahaba” [Ufu. 17:5, KJV
 
Papa yuko sasa, kuna uhalifu na dhambi. Uhalifu mara nyingi ni pale unapoenda kinyume na sheria za kidunia. Ingawa uhalifu pia yaweza kuwa dhambi lakini utahukumiwa na sheria za kidunia. Dhambi ni pale unapovunja sheria za Mungu/ Dini. Ukitenda dhambi hauhukumiwi kwa sheria za dunia bali hukumi yako itafanywa na Mungu mwenyewe.

Kanisa halihukumu wenye dhambi, ila lina kemea dhambi. Kanisa haliwabagui wenye dhambi ila linakemea na kuonya wenye dhambi.

Ndo maana tuna watu makanisani ni wazinzi, tuna watu makanisani wanatembea na wake za watu n.k. Tunasali nao na hatukuwa kuwapiga mawe.

Nadhani kwenye hili swala inabidi tushushe mihemuko, tuliangalie kwa namna nyingine.

Kama nchi nadhani inatosha kuwa na sheria inayo ruhusu faragha bila kujali watu wanafanya nini huko faraghani. Na kanisa kazi yake iendelee kuhubiri injili na kukemea dhambi bila kubagua wenye dhambi.
 
Yuko sahihi,! Ushoga ni choice hakuna mtu anakushikia bunduki uwe shoga ni kwa ujinga wako mwenyewe kuwalaumu viongozi wa dini au wamarekani ni mwendelezo wa utamaduni wa malalamishi ambao waafrica tunao.

Be the Gadem MAN stop blaming other people on your life choices.
 

Umenena vyema sana mkuu. Nafurahi KUONA jf Ina Great thinkers.

KRISTO YESU NDIYE MKOMBOZI WA ULIMWENGU.
JIWE KUU LA PEMBENI.
 
Someni sana Biblia SOMENI BIBLIA NDIO KITABU CHA KWELI.
SHETANI NA ROMA WANAIHARIBU LAKINI HAWATAWEZA.

UNABII UNAZIDI KUTIMIZWA.


Na katika kipaji cha uso wake alikuwa na jina limeandikwa, la siri, BABELI MKUU, MAMA WA MAKAHABA NA MACHUKIZO YA NCHI.

Ufunuo wa Yohana 17:5
 
Mmmh hii dunia ngumu? Bora kusali mwenyewe tu.
 
Kama sio fake news naomba nitoe maandiko yanayozuhia ushoga. Maana yapo ktk Biblia takatifu yenye Vitabu 69.
Kama kweli yawezekana waandishi walimnukuu vibaya.
 
Je, uzinzi ni UHALIFU?
 
Shetani na katoliki ni kitu kimoja.

NIMESOMA NA KUFUATILIA HILI JAMBO ILA KUNA VITU HAWA JAMAA WA UPINDE WAMEVIONGEZEA KWA PAPA.

YANI WAMEMLISHA MANENO PAPA.
ILA NAE YUPO KARIBU SANA NA MASHOGA.

SOMENI BIBLIA UNABII UNATIMIA.

Na katika kipaji cha uso wake alikuwa na jina limeandikwa, la siri, BABELI MKUU, MAMA WA MAKAHABA NA MACHUKIZO YA NCHI.

Ufunuo wa Yohana 17:5
 
Acha justfication papa kakosea sana kukubali nchi zikubali mapenzi ya jinsia moja ni kukubali ushoga kwenye jamii, ni kukubali dhambi nilitegemea yeye ndiyo akataze nchi za ulaya kupitisha sheria za aina izoo ila yeye ndyo kahalalisha wakubaliwe hakuna mtu asiyetenda dhambi na wote ni watoto wa Muumba lkini waje kanisa kutubu na kuacha siyo waje ndani ya kanisa kma watu wa jamii izoo na kanisa halitakiwi kutambua mapenzi au ndoa za namna iyoo
 
Kumbe ndio maana maaskofu na mapadri wa katoliki wanawalawiti sana watoto makanisani hasa huko Ulaya na Amerika!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…