Yeye kwan ni mwanasheria au Kiongoz wa Dini, Kiongoz wa Dini kazi yake ni kuikemea dhambi yoyote ile bila kujali kama ni uhalifu au laa kwa sheria za Kidunia.
Hayo makanisa yanaunga mkono ushoga. PERIOD
Senge linatetea Mashoga wenzie
 
Ingekuwa mlango wa kanisa kuna kifaa kinapima wenye dhambi wasiingie kanisani ni nani angepona ?
kwa nini tunabagua watu wanaofanya dhambi fulani pekee wakati wabaguzi nao wana dhambi za uzinzi, uongo, unyanyasaji, wizi, kuchepuka, kudanganya, n.k. hii si sawa kabisa.
 
Kweli mkuu
 
Na wale wakristo wenye wake zaidi ya mmoja ni wana wa Mungu, ndoa za mitala siyo uhalifu, mbona Kanisa linawatenga!! Wkt manabii wengi walikuwa na mke zaidi ya mmoja ktk biblia na haijawahi kutokea Nabii Basha au Shoga, Mungu hakuvumilia hawa watu hata mara moja.
 
Kwani kuwa na Mke zaidi ya mmja ni jambo la ajabu? Mbona imekuwa hivyo Toka enzi?
 
Wapi kasema hiyo dhambi ifanywe? Kitu kikishakuww dhambi maana yake usikifanye, hiyo ni kwa mujibu wa imani yake, ni dhambi na isifanywe, ila si kila dhambi ni uhalifu, means tusijichukulie sheria mkononi
 
Jambo ambalo unaona ni kero, utaliondoaje kama unaficha ukweli? Tusiwe wanafiki, ushoga sio kosa kisheria, ukitaka liwe kosa mwambie mbunge wako apeleke hoja bungeni ikatungwe sheria mpya
Waambie hawa watu,
 
Unafiki unawasumbuaa tyuuh.
 
Boraaa uwaulize hawa watu, wakikujibu nitag.
 
Papa kapiga kwenye mshonoo. Watu wamepovukwaaa baraaaah.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Mbavu zangu miee, khaaaaah
 
mafarisayo
 
Ni ajabu wamagharibi wanapinga kabisa ishu ya mitala lakini wako radhi na Ni sahihi kutifuana mtaro!
Je Ni sawa kuhalalisha uchafu huo na si sawa kuwa na mke zaidi ya mmoja?
Mungu atusaudie na inaelekea tuendapo Kuna kuangamia.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Nipo nasikiliza ngoma ya Huyu mwamba dizasta vina (The Verteller au Black Maradona) kanisa
 
Wapi kasema hiyo dhambi ifanywe? Kitu kikishakuww dhambi maana yake usikifanye, hiyo ni kwa mujibu wa imani yake, ni dhambi na isifanywe, ila si kila dhambi ni uhalifu, means tusijichukulie sheria mkononi
You need to peep the game!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…