Kama sio kosa, uhalifu, lakini ni dhambi, sasa kosa na uhalifu sio ni aina ya dhambi? Sasa yeye kazi yake sio kuwaelekeza hao mbinguni? Je, anachukua hatua gani dhidi ya dhambi hiyo? Hivi Yesu wa Nazareti wakati akiwa duniani alilishughulikia suala ili kivipi?
Hivi ile ya Sodoma na Gomola (kama ni kweli) kulikuwa hakuna serikali au serikali kama ilikuwepo ilihalalisha suala hilo?
Nature inaonesha vitendo hivyo sio sahihi. Halafu kuna sayansi inachochea mambo hayo, badala ya kuwa na sayansi ya kuzuia mambo hayo.