mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 23,169
- 9,054
Jidunge ndoba [emoji38][emoji38][emoji12]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jidunge ndoba [emoji38][emoji38][emoji12]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawamuogopiiii?? Hawa kelele zao ni kwa keyboard.Kaja Afrika mbn hamjamwambia ukweli?
Aaah akiwa ziaran Kongo, Pope tulimsikia kama alivyosema.Reflection ya vatican ndio reflection ya kanisa katoliki duniani kote. Ushoga hauungwi mkono na vatikani isipokuwa mama kanisa anamchukulia shoga kama kondoo aliyepotea ambae anastahili kutafutwa, kusamehewa na kurudishwa zizini, sio kumchinja na kumla nyama.
Huu au?
Wezi wanakaribishwa kutubu na mahubiri ya kukemea uzinzi yapo kila leo. Yako wapi mahubiri ya kuunga mkono uzinzi na wizi?Wezi na wazinzi mnaowakaribisha kwenye nyumba zenu za ibada mnatumia vifungu vipi kuwakaribisha??
Unamaanisha nini?
Kwani umesikia tunakubali kwamba ni haki yao kuiba au kufanya uzinzi?Wezi na wazinzi mnaowakaribisha kwenye nyumba zenu za ibada mnatumia vifungu vipi kuwakaribisha??
View attachment 2537218
Labda unafirwa wewe. Kuhamasishwa sio mpaka mtu apite nyumba kwa nyumba