Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kaurudia jana mbele ya askofu mkuu wa anglikana mjini juba, anglikana walishakubali kusali na mashoga kama kawaPelekeni Ujinga wenu huko! Kila siku mnabadilisha statement yake, Alisema kuwa sio crime bali ni dhambi.Sidhani kama mtoa mada una akili timamu
Umeshamaliza kumshambulia Mchungaji Kimaro sasa umerukia ya Papa Francis? Hebu malizana kwanza na ugomvi wenu huko KKKT.
Kwa hiyo kama sio uharifu nije nikusugue tu"Mapenzi ya jinsia moja si uhalifu,Bali ni dhambi" - Pope Francis
Sijaona mahali amehalalisha ushoga! Au Lugha ni ngumu kuielewa? Mnahangaika sana kupindisha maneno! Eti ameupiga mwingi kuunga mkono ushoga! Haujaona kwamba amesema "Ni dhambi"?
Kwa hiyo kama sio uhalifu ndiyo Usugue? Hauogopi dhambi?Kwa hiyo kama sio uharifu nije nikusugue tu
USSR
Kwa kusema wapenzi wa jinsia moja lazima wapokewe na kuheshimiwa, na hawapaswi kutengwa au kubaguliwaHello Wadau.
Papa Francis wa RC ya Vatican ameupiga mwingi kwa kuunga mkono ushoga na kusema mashoga siyo wahaliifu, na kwamba ni wana wa Mungu pia...
Usikufuru bro! ww bado kijana utazaa mtoto shoga, halafu tupe mrejesho hatua utakazo chukua![emoji101]Majanga, ndio maana Huwa sisali hii ni miradi ya watu ndio maana wanasapoti upumbavu na ushetani
Acheni ushoga,wasio na mtoto kama hao ndio wanashadidia ushoga.Usikufuru bro! ww bado kijana utazaa mtoto shoga, halafu tupe mrejesho hatua utakazo chukua![emoji101]
Wanastahili kuuawa tuSasa ukiwakataza kuingia church watatubu vipi?
Ukristo dini ya upendo. Hairuhusu kuuuwana.Wanastahili kuuawa tu
Ushoga kwenu poa tuUkristo dini ya upendo. Hairuhusu kuuuwana.
Siyo poa. Ila siyo sababu ya kuua mtu. Hata wizi na uzinzi na ufisadi siyo poa.Ushoga kwenu poa tu
Tulia tulia shekhe sisi wa RC tumemwelewa baba mtakatifuHivi jamani tukisema ukristo siyo dini bali ni upagani ulijificha kwenye dini Huwaga m atuelewa kweli?
Ziara ya papa DRC na sudani amekuwa akihamasisha ushoga eti waruhusiwe kuingia makanisani kwa maana nyingi anasema ushoga ruksa.
Mtu kuwa shoga ni umosefu wa màdili ya dhati ki mungu toka utotoni. Waislami Wana maadili ya kumuogopa mungu tangu watoto. Ila wakristo msisitizo ni ushoga tu na upigaji kama kimaro alivyosena.
Karibu uislamu dini ya kweli na mwenyezi mungu huko kwingine mmepotea ndugu zangu. Nyie kalieni mapombe yenu tu
Kwani papa ameongea na watu au ameongea na mungu huko DRC. Anapaswa kuongea vinavyoeleweka hapo ndo waislamu tunapowapigia bao na kuonekana ni dini ya kweli mana tunaongea vinavyoelewekaKumuelewa papa lazima uwe na akili kichwani sio kwa ilimu ya madrasa
Hajaruhusu ushoga
Amesena ushoga ni dhambi mbele za Mungu ila kibinadamu inategemea na sheria za nchi husika.
Kwamba shoga achukuliww kama wakosefu wengine wanavyoruhusiwa kuingia kanisani
Acha ujinga wewe,kaongea nini pale ambacho kinahitaji akili kubwa!!?..kimsingi kamaanisha kanisa liko poa na uchoko,kwamba sodoma na Gomorrah ilikua mlipuko wa volcano tu si ghadhabu za munguKumuelewa papa lazima uwe na akili kichwani sio kwa ilimu ya madrasa
Hajaruhusu ushoga
Amesena ushoga ni dhambi mbele za Mungu ila kibinadamu inategemea na sheria za nchi husika.
Kwamba shoga achukuliww kama wakosefu wengine wanavyoruhusiwa kuingia kanisani