Kwa mnaomjua Penina ana grocery hapo Goba Center pembeni ya baa ya Trinnidad kauawa na mpenzi wake usiku wa saa tisa hapo hapo grocery kwake.

Nitaleta update zaidi.

Wanawake kuweni sana makini this time watu wamevurugwa sana!
Kwa mnaomjua Penina ana grocery hapo Goba Center pembeni ya baa ya Trinnidad kauawa na mpenzi wake usiku wa saa tisa hapo hapo grocery kwake.

Nitaleta update zaidi.

Wanawake kuweni sana makini this time watu wamevurugwa sana!
Binafsi sitaki kusikia kuhusu mahusiano napambba nawanangu.
 
Kudadadeki Mkuu nimeipenda sana hii Post yako ya Kibabe na yenye Ukweli mtupu. Uko kama Mimi siweki Kibanda.
 
Kugongewa kuna wapa shida Sana vijana wa sasa hv, mtu anaweza kurukwa na akili, akisikia mwanamke wake kapitiwa,
Daah, niliwahi kumgongea Mzee mmoja Mke wake aisee (alikuwa na kabinti kadogo), Huyu mzee alikuwaga hatokitoki ndani kwa matatizo ya miguu na pressure but that time alipata nguvu za kuzunguka mji mzima akinitafuta! Angenipata sijui ingekuwa Je!!🤔
 
Mwingine anakuwa amerukwa na akili huyu mtu ni WA kuchunguzwa wenda hazipo sawa akili zake
 
Dada zenu baadhi waache kupenda kutoa 0713 kwa ama Wapenzi au Waume zao. Narudia waache kutoa hizo 0713 zao.
Sana mkuu,hawa washamba wakionjeshwa ndogo wanachachawa kinoma sasa akifiria kuwa kuna mwingine analishwa kisamvu anarukwa na akili kabisa anajua hiyo anawekewa yeye tu kumbe kakuta kipira kimeshaachia kitambo.
 
Asante kwa updates Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…