Mi nilishasema kama ni lazima sisi wanaume kuhonga basi mie huwa namhonga mke wangu tu ili hata kama atanisaliti basi walau ntabakia na watoto aliyonizalia wa kunifariji fariji uchungu wa pesaa angu.
 
Huyo ni fala tu k kazijulia ukubwani ngoja wahuni wakamlawiti huko store. Ukimegewa unaachana nae sasa bwege kawekeza kabisa hajui kuwekeza kwa malaya ni sawa na kujenga kwe Road reserves. M'mae zake.
Umemaliza kila Kitu Mkuu heko sana. Nakukubali sana kwani una Maamuzi ya Kibabe kama Mimi na hupindishi maneno.
 
Dah watu wanateseka sana na mapenzi ndio mana mm nimeamua kutokuchukulia serious mambo ya mapenzi
Mfumo mzuri wa mapenzi ni ule ukihitaji penzi unatafuta dada unamlipa anakupa penzi mnamalizana. Siku nyingine ukihitaji penzi unatafuta mwingine au unamuita huyo huyo unamlipa anakupa penzi mnamalizana.
Haya mambo eti mtu ana mpenzi anahudumia wakati haina tofauti yeyote n kwa sababu wanawake karibia wote wanauza na hawana mteja mmoja. Wanaume wanapaswa kuondoka katika mfu.o wa kuwa na mpenzi wa kudumu.
Buyer seller relationship ndio mfumo bora kwa-mazingira ya sasa.
 
Sana mkuu,hawa washamba wakionjeshwa ndogo wanachachawa kinoma sasa akifiria kuwa kuna mwingine analishwa kisamvu anarukwa na akili kabisa anajua hiyo anawekewa yeye tu kumbe kakuta kipira kimeshaachia kitambo.
Alipaswa atutafute WAKALI WA KAZI HIZO tumpe Maujanja ya kwamba akizitumia awe vipi ili hata ikibanduliwa asiumie.
 
Ukikolea penzini unafikiri ni rahisi kiasi hicho?!
Ni rahisi kuwalaumu, ila kiukweli maumivu ya kusalitiwa yanauma kuliko chochote Alooh.
 
Ningekuwa jirani nawe nakuhakikishia Mkuu ningekupa Hela kama Zawadi kwani umesema vyema na ndivyo nafanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…