HakikaNot necessarily ufike huko, umeruhusu love hisia ziku control, lakini kwanini wakati zipo njia za kuziepuka? mshike Mungu wako kila kitu kitakua chenye furaha ba hutaanguka kirahisi, wenza wetu wanatumika na shetani wananguvu sana kutia hofu matumbo yetu na mioyo yetu, kinachotokea unapiga pasipo juwa you are killing someone. God above all
Tatizo sio papuchi….kula Vya watu….cha MTU….MA….Hakuna papuchi ya mtu zaidi ya mmiliki , akiamua ampe nan ni yeye , akiamua atunze mpaka buibui waote ni yeye pia hakuna wakumpangia.
Unahamasisha punyeroooHapa ndio utaona umuhimu wa timu Bakari Nondo MWAMNYETO.
Kuna mmoja amemsomesha mke sasa hivi kamuoaUkiona mwanaume anasomesha mpenzi wake hiyo ni dalili ya matatizo ya akili
Aendelee na moyo huo huo, ataenda mbinguniKuna mmoja amemsomesha mke sasa hivi kamuoa
Now anasomesha mdogo wa mke wake na mdogo kwa mama mdogo wa mke wake😂
Hakuna lolote huyo Jamaa ( Pimbi ) ni Mshamba tu. Hakuna Demu wa peke yako hasa kwa hii dunia ya sasa mtake msitake.Bila shaka mwanaume aliwekeza sana kwa bibie na hatimaye kuwa na wivu sana na Penina wake.
Hata hivyo, njia aliyoitumia siyo sahihi kwa sababu hajamdhuru tu Penina bali kajiumiza yeye mwenyewe!
Hakuna cha wivu wala nini ni ujinga tu na ushamba mademu wote hawa waliojaa hadi uende kuuaBila shaka mwanaume aliwekeza sana kwa bibie na hatimaye kuwa na wivu sana na Penina wake.
Hata hivyo, njia aliyoitumia siyo sahihi kwa sababu hajamdhuru tu Penina bali kajiumiza yeye mwenyewe!
Za wapi atazikwa labda na kama ni Mchagga basi jua hiyo ni Kibosho au Kibororoni moja kwa moja.Niliomba updates.
Sisi wazee wa kununua tunawa zoom tu hao jamaa wanaojifanya wataalamu wa mapenzi na kuhudumia wanawakeMfumo mzuri wa mapenzi ni ule ukihitaji penzi unatafuta dada unamlipa anakupa penzi mnamalizana. Siku nyingine ukihitaji penzi unatafuta mwingine au unamuita huyo huyo unamlipa anakupa penzi mnamalizana.
Haya mambo eti mtu ana mpenzi anahudumia wakati haina tofauti yeyote n kwa sababu wanawake karibia wote wanauza na hawana mteja mmoja. Wanaume wanapaswa kuondoka katika mfu.o wa kuwa na mpenzi wa kudumu.
Buyer seller relationship ndio mfumo bora kwa-mazingira ya sasa.
Mimi nilijua Mbobezi wa kununua Mbunye niko peke yangu tu nisiyetka Stress za Mademu kumbe nina Wenzangu kibao?Sisi wazee wa kununua tunawa zoom tu hao jamaa wanaojifanya wataalamu wa mapenzi na kuhudumia wanawake
Alafu mwanamke wa grocery...Hivi mwanaume unaanzaje kumtia mapanga mwanamke na wakati wanawake wapo bwerereeee...
OoohSasa mpaka nimesema angekuwa karibu yangu ningempa Zawadi ya Hela hapo si tayari nimemaamisha kuwa ipo?
Za wapi atazikwa labda na kama ni Mchagga basi jua hiyo ni Kibosho au Kibororoni moja kwa moja.
Huyo Pimbi Muuaji nimemdharau kweli kweli na natamani sana Masela atakaowakuta huko Segadansi wamtapishe Mtaro.Alafu mwanamke wa grocery...
Useng huu..
Anauza bia kwa kuuza K.
Mpuuzi huyo uaji.
Lazima Aliwe..Huyo Pimbi Muuaji nimemdharau kweli kweli na natamani sana Masela atakaowakuta huko Segadansi wamtapishe Mtaro.