Penina wa Goba Centre auawa na aliyekuwa mpenzi wake kwa kukatwa mapanga
Aliyemkata panga ndie huyo waliyepigana

Ila wanaume mnajitafutiaga matatizo. Mtu umemkuta anauza baa unataka kuleta ubabe wa kumkataza asiendelee na biashara uliyomkuta nayo
Tatizo wanawake warembo wenye makalio makubwa wana mambo ya ajabu, sasa wakikutana na mwanaume asiye na akili ndo wanauwawa.

"Baby, uza ile nyumba ya mama yako nipe mtaji niachane na biashara ya baa ina vishawishi."

Mtu anauza, mama anapangiwa chumba kimoja halafu anafumaniwa na mwanaume bar, akiulizwa mbona hutoki huko baa na mtaji nimekupa anaanza majibu ya kipumbavu. Unategemea nini zaidi ya kichwa kutenganishwa na makalio?
 
Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Penina Methody (27) ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali kinachodhaniwa ni panga, chanzo kikidaiwa ni wivu wa mapenzi.

Tukio hilo linalodaiwa kufanywa na mtu anayedaiwa ni mpenzi wake limetokea jana Alhamisi, Mei 23, 2024 Goba Centre, Wilaya ya Kinondoni anapofanyia biashara zake Penina.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema leo Ijumaa Mei 24 2024 kuwa watatoa taarifa kamili kuhusu tukio hilo.

Akisimulia tukio hilo mmoja wa bodaboda aliyekuwa akimbeba Penina amesema siku nne kabla ya kuuawa, Penina na mwanamume mmoja walipigana kwa kurushiana chupa.

Chanzo: mwananchi_official

Nilikuwa sijaona Picha yako ila kwa kuiona kupitia Mwananchi sasa naanza Kuelewa kwanini Msukuma Kakudedisha.
Kutokana na wingi wa matukio ya namna hii ambayo yamekuwa yakijirudia rudia mara kwa mara, taratibu dhana ya kuona kwamba kuna kila sababu za kuanzisha ndoa za Mikataba ili kupunguza au kutokomeza kabisa matukio ya namma hii.
 
Aliyemkata panga ndie huyo waliyepigana

Ila wanaume mnajitafutiaga matatizo. Mtu umemkuta anauza baa unataka kuleta ubabe wa kumkataza asiendelee na biashara uliyomkuta nayo
Aah wapi! Kwa mfano,tumekubaliana aache biashara ya kuuza ulabu,nikampa kibunda kizito kama mtaji afanye biashara nyingine..ghafla akaanza visa mixer mapichapicha yasiyoeleweka hapo unategemea nini?
 
Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Penina Methody (27) ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali kinachodhaniwa ni panga, chanzo kikidaiwa ni wivu wa mapenzi.

Tukio hilo linalodaiwa kufanywa na mtu anayedaiwa ni mpenzi wake limetokea jana Alhamisi, Mei 23, 2024 Goba Centre, Wilaya ya Kinondoni anapofanyia biashara zake Penina.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema leo Ijumaa Mei 24 2024 kuwa watatoa taarifa kamili kuhusu tukio hilo.

Akisimulia tukio hilo mmoja wa bodaboda aliyekuwa akimbeba Penina amesema siku nne kabla ya kuuawa, Penina na mwanamume mmoja walipigana kwa kurushiana chupa.

Chanzo: mwananchi_official

Nilikuwa sijaona Picha yako ila kwa kuiona kupitia Mwananchi sasa naanza Kuelewa kwanini Msukuma Kakudedisha.
Goba ni Wilaya ya Ubungo....
Kinondoni hakuna matukio ya ovyo hivyo.
 
Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Penina Methody (27) ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali kinachodhaniwa ni panga, chanzo kikidaiwa ni wivu wa mapenzi.

Tukio hilo linalodaiwa kufanywa na mtu anayedaiwa ni mpenzi wake limetokea jana Alhamisi, Mei 23, 2024 Goba Centre, Wilaya ya Kinondoni anapofanyia biashara zake Penina.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema leo Ijumaa Mei 24 2024 kuwa watatoa taarifa kamili kuhusu tukio hilo.

Akisimulia tukio hilo mmoja wa bodaboda aliyekuwa akimbeba Penina amesema siku nne kabla ya kuuawa, Penina na mwanamume mmoja walipigana kwa kurushiana chupa.

Chanzo: mwananchi_official

Nilikuwa sijaona Picha yako ila kwa kuiona kupitia Mwananchi sasa naanza Kuelewa kwanini Msukuma Kakudedisha.
Goba centre pamekuwa pamoto🔥
 
Back
Top Bottom