Buku 2 kwa mshindoMimi huniambii kitu kuhusu buguruni, sijisikii kama niko dar ikiwa sitolala buguruni. Nikikwama basi buku 2 tu inatosha kuondoa 'uchichi'.
BububuUnakaa Zanzibar ipi? Kuanzia mjini hadi shamba mvua kuanzia saa kumi na moja mpaka sasa haijakata zaidi ya kupumzika kidogo tu. Namaanisha Unguja.
😂😂Yalimkuta kumbeMtani kumbafu kabisa, tangu uchapwe na mps akili yako haina akili tena😂😂
Alichezea vitasa balaa, biashara za kushinda vijiweni na kubishania mpira wa simba na yanga vilimponza😂😂Yalimkuta kumbe
Alistahili ili aache kukaa vijiweni😂😂Yalimkuta kumbe
Nitakuwa mitaa ya nyuma ya ubalozi wa ufaransa pale kijiweni....hali ya hewa ikiwa nzuri
Tangu jana usiku mpaka sasa ni mvua Tanga mjini. Naelekea Dar nione hali ikoje maana kuna makazi bondeni kidogoWakuu, tujuzane huko ulipo hali ikoje kwa picha na video, na kama kuna sehemu ina changamoto toa taarifa haraka kwa mamlaka husika kuepusha athari kubwa.
Bila kusahau, tuchukue tahadhari kipindi hiki chote cha mvua.
Mzazi, kama mtoto wako anasoma mbali na miundombinu ni mibovu ni bora ukaacha leo apumzike, asije kukutana na majanga ukaishia kujuta.
Wengine wamekutana na majanga asubuhi asubuhi, jamaa kanasa kwenye mtaro maeneo ya Tegeta
Natoa pongezi kwa Mkurugenzi wa Jiji kwa kukosa maadalizi ya mvua miaka yote. Hii inatokana na hali ifuatayo barabarani;Hasa kule kwenye mabwawa ya majitaka
😂😂inaelekea Una dhambi sana weweDar wakiona manyunyu tu wanasema ni Elnino
😂😂Au ndio yule alisema sijui mkono ✋ ulitoka wapi nilisikia tu paaa nikaona jua linachomoza wakati ilikuwa jioniAlichezea vitasa balaa, biashara za kushinda vijiweni na kubishania mpira wa simba na yanga vilimponza
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂Au ndio yule alisema sijui mkono ✋ ulitoka wapi nilisikia tu paaa nikaona jua linachomoza wakati ilikuwa jioni
Buguruni haitamaniki siku zoteBuguruni haitamaniki kipindi hiki. Yaani ninaposema haitamani ni haitamaniki kweli.
Huyu mwamba kakutana na tofali la mods kweli au kapicha tu!TMA wamekukasimu Jukumu la Communication Manager na PR Executive Wao ili utuulize au ni Kiherehere chako tu?
Kabisa kuna watu walikuwa wanawatukana natamani ule uzi urudi maana niliwaambia tukumbushane ila naona kimyaa. watu walikuwa wana dharau na kuwaita kila aina ya majina.Kuna wale jamaa wabishi sijui bado wanabishana na TMA?
Kumzidi mama yako anayoliwa manzese Tip top?Wewe Ni mpumbavu Sana mtu kuomba update za mvua kwa eneo uliliko una mtukanaa
Shenzi snaa
Uchafu wa mazingira na mitaro ndio unaifanya buguruni ionekane Tandale iliyochangamka , miundombinu mibovu ni tatizoBuguruni haitamaniki siku zote
Buguruni haitamaniki kipindi hiki. Yaani ninaposema haitamani ni haitamaniki kweli.