Picha: Tupatie update ya eneo lako husika- El nino 2023/2024
Amani kwako.

Jiji la Dar Es Salaam na Zanzibar ni kati ya mikoa iliyotajwa kuwa na mvua kubwa zitakazopelekea mafuriko na hali ya sintofaham.

Mvua ya toka jana jioni hadi leo imepelekea baadhi ya sehemu kadhaa kukubwa na mafuriko katika mini hii iliyotajwa hapo juu Dar Es Salaam na Zanzibar.



Picha hii hapa ni kutoka darajani Zanzibar.
View attachment 2804943


Na hii hapa chini ni jijini Dar Es Salaam.
View attachment 2804945
Update: 06.11.2023
📍Zanzibar.
Leo wana nafuu ila wingu limetanda, so wanaweza kununua vyakula na kufanya daily works kupata kipato.

📍Dar Es Salaam.
Kuna uwezekano eneo moja inakunya na kwingine hainyi ila bado hali ya hewa maeneo mengi ni ya kufirika.

Picha kwenye komenti 😄!.
Mhariri na Moderator ONDOA hapa hii mada ni Dar na Zanzibar, angalia ilivyo how come mnaunganisha mada asee nyie watu?.

Msiwe wazandiki, basi kwenye heading mngefuta Dar ibaki Zanzibar tu ili muone tofauti.
 
Nyie watu wa dar hayo sio mafuriko bali ni matokeo ya ujenzi wa hovyo hovyo, ujenzi holera, jiji halina mpangilio mnategemea maji yapite wapi? Na msipopangilia ujenzi wenu siku moja tutakuja kuwaokota baharini.
Sioni mkoa mwingine wakilalamika mafuriko tofauti na dar, mvua ya dakika tano tu ati mafuriko, je ikinyesha siku nzima si nyumba zenu itakuwa makazi ya samaki na papa wa baharini?.
 
Narudia. Mvua siyo nyingi za kusababisha mafuriko. Ni ujenzi mbovu na ukosefu wa miundombinu. Ila mtu kama wewe unaweza kuona ni ''kudra ya Mungu'' na hakuna la kufanya. Unajua maana ya ''land reclamation''? Nenda Holland uone ndiyo utajua ninachomaanisha.
Acha upuuzi basi kila kitu siasa tuu .Wanasayansinwameeleza kuwa mvua ni nyingi sana zitasababisha Mafuriko wewe bado umekomaa tu miundombinu kule Zanzibar hali ni mbaya sana wewe ulishawahi sikia au ona mafuriko ya vile kule Zanzibar.

Siyo kila muda unawaza siasa tuuuu na kutuma Malalamiko serikalini.
 
IMG_20231106_163048_134.jpg

Athari za Mvua mkoa wa Geita, wilaya ya Chato kata ya rumasa daraja limesombwa na maji , barabara inatumika kwa wanafunzi, wakulima na magari ya mizigo.
 
Ubavu wa kufanya Land reclamation bongo hamna! Labda muwakamate majizi yote ya nchi hii muinyongelee mbali na muwapune hela zote walizoiba murejeshe kwenye mfuko wa taifa wa benki kuu ndo mfanye hivyo.

Na mtalazimika kuhama nchi kwa miaka hata 10 shughuli ikamilike
Najua hili na nilikuwa namwonyesha mjinga mmoja kwamba binadamu tumepewa uwezo wa kufanya makubwa na siyo kila kitu ni kudra za Mungu.
 
Acha upuuzi basi kila kitu siasa tuu .Wanasayansinwameeleza kuwa mvua ni nyingi sana zitasababisha Mafuriko wewe bado umekomaa tu miundombinu kule Zanzibar hali ni mbaya sana wewe ulishawahi sikia au ona mafuriko ya vile kule Zanzibar.

Siyo kila muda unawaza siasa tuuuu na kutuma Malalamiko serikalini.
Nimekuambia wewe ufinyu wa mawazo yako na kukosa exposure ndiyo tatizo lako. Huko kote Zanzibar na Dar matatizo ni yale yale. Mipangilio mibovu. Mvua iliyonyesha kama tungekuwa na miundo mbinu mizuri na ujenzi iliopangwa hali isingekuwa hiyo. Najua watu wenye ubongo wa nyani kama wewe ni vigumu kuamini hili...
 
Nyie watu wa dar hayo sio mafuriko bali ni matokeo ya ujenzi wa hovyo hovyo, ujenzi holera, jiji halina mpangilio mnategemea maji yapite wapi? Na msipopangilia ujenzi wenu siku moja tutakuja kuwaokota baharini.
Sioni mkoa mwingine wakilalamika mafuriko tofauti na dar, mvua ya dakika tano tu ati mafuriko, je ikinyesha siku nzima si nyumba zenu itakuwa makazi ya samaki na papa wa baharini?.
Wewe ndo umemaliza kila kitu.Hii mvua ndogo wala si ya kutisha ila uholela wa wakazi. Hivi ingekuwaje kama zikija zile mvua za vimbunga kama katrina storm ambazo huwa zinapiga huko marekani na nchi za huko carribean au zinazopiga huko China ambazo huangusha hadi magorofa
rain.jpg
 

Attachments

  • katriina.jpeg
    katriina.jpeg
    1.5 MB · Views: 9
Back
Top Bottom