Profesa Assad: Hakuna bandari inayouzwa, ni uelewa mdogo wa watu

Kusaini mkataba huu wazanzibar tanganyika ni suala la muungano
Japo maandishi yako hayajakaa sawa nimekuelewa ni hivi wamesaini kwa niaba ya Tanzania sio Tanganyika hiyo Tanganyika mulishafuta tokea 19 6 4
 
Mim ninachojua hao waislm wengi unaosema wana kiongozi wao sasa ndo uniambie ata kiongozi wao mmoja anaeunga mkono akina mwabukusi kupinga hao waraabu wa dp world, masheikh wote maarufu hapa mjini wapo na dp, mpaka sheikh wangu yule Rusaganya mwana wa kigoma kazma dp mzima mzima
 
Mimi Nina amini Hapa pro. Asad ameamua kuitumia akili na elimu yake vibaya tu Tena kwa makusudi Ili aendane na matakwa ya tumbo
 
Tuna nchi ya ajabu sana na wasomi wetu ni wa ajabu

Kwa nini wasomi wetu hawaheshimiani?

Mtu aliyesoma uchumj, badala azungumzie uchumi, unakuta ndio kwaanza ametoka na misuri ya shingo anaongelea mambo ya kisheria, kitu ambacho si sawa

Unamkuta mtu aliyesomea Sheria, anekalia kuzungumzia mambo ya uchumi akiwaaminisha wananchi kwamba, wamsikilize? Stupid!

Na ndiyo maana hata kwenye kuandaa mawaziri mbalimbali, kinachokuwa kinazingatiwa, ni Professional zao na siyo blablaa!

Tunakwama wapi kuheshimu fani za wengine?

Hi la juzi kwa Msomi nguli wa uchumi Prf Hasadi kuhitimisha eti wanasheria wamepotoka, mandate hiyo aliitoa wapi?

Yeye ni nani katika fani ya sheria?
 
Tuache wataalamu wa uchumi na uwekezaji watuelemishe faida za kiuchumi na uwekezaji kutokana na uwekezaji wa bandari. Tukiacha Kila mtu akawa mchambuzi wa uchumi itakuwa haina maana kuwa na wachumi.
 
Tuache wataalamu wa uchumi na uwekezaji watuelemishe faida za kiuchumi na uwekezaji kutokana na uwekezaji wa bandari. Tukiacha Kila mtu akawa mchambuzi wa uchumi itakuwa haina maana kuwa na wachumi.
Umesema vema mkuu, Je linapokuja suala la sheria azungumze mtaalamu wa uchumi au sheria?
 


  • Lissu
  • Mwabukusi
  • 1,354,900

Wote hawa 1,354,900 wamesoma sheria na hawataki DP World.

Ukimtafuta Mama Ntilie mzuri mwenye ujuzi wa kulipa pango la meza yake na kulipa kodi, anaweza kabisa kuona matatizo ya huu mkataba.

Ukimchukua kijana wangu wa form 3 ukampa ausome anaweza kabisa kukwambia mbona kama hapa pana uonevu!

Asad is tooo very senior ku doubt uwezo wake kwenye mkataba wa DP world, ana uwezo kabisa wa kuelewa na kukosoa.

Asad wa watu kakukosea nini?

Rubbish.
 
Tatizo hili sakata la Bandari limepoteza professionalism arguments na badala yake limekuwa la Udini, Uzanzibari na Utanganyika. Huwezi kumsikia Muislam au Mzanzibar akiuponda huo mkataba bali atamtetea Samia kwa sababu ya Uislam na Uzanzibar wake
 
Mkuu si mmesema swala la bandari halina udini ?
Halina yes lakini kuna baadhi ya watu kama assad,zito na wengine wanaweka udini lakini mtu kama Shivji kajadili kitaalamu bila kuweka mambo ya dini tofauti ndio iko hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…