Profesa Assad: Hakuna bandari inayouzwa, ni uelewa mdogo wa watu

Profesa Assad: Hakuna bandari inayouzwa, ni uelewa mdogo wa watu

..sio sahihi kupima weledi na utendaji wa Prof.Shivji kwa...
Kama tangu baba wa taifa ni rais mpaka kikwete hakuna aliemuona kuwa anafaa hata kuwa mwanasheria mkuu wa serikali basi hatufai huyo.

Kiongozi huonekana mapema sana kwakifupi shivji abaki kwenye level yake huko juu hawezi.
 
Msitake kupotosha, Prof Shivji alisema Mkataba unampa mwekezaji mamlaka makubwa na akatoa kipengele cha mwekezaji kutaka kupewa Taarifa kwanza kwa shughuli zozote za uwekezaji au fursa hapo baadae kabla ya mwekezaji mwingineo kinaondoa ushindani!
 
Kama tangu baba wa taifa ni rais mpaka kikwete hakuna aliemuona kuwa anafaa hata kuwa mwanasheria mkuu wa serikali basi hatufai huyo. Kiongozi huonekana mapema sana kwakifupi shivji abaki kwenye level yake huko juu hawezi.

..Prof.Shivji kutokuteuliwa na Rais kuwa AG, CJ, haimaanishi kuwa sio miongoni mwa manguli wa sheria hapa Tz.

..Pia uangalie reputation ya hao Maraisi uliotegemea wamteue Prof.Shivji.

..Zaidi, angalia jinsi wasomi mbalimbali walivyotumika vibaya baada ya kuteuliwa kushika nafasi serikalini.

..Ulitaka Prof.Shivji atumike vibaya kama Dr.Daudi Balali, Prof.Ibrahim, Prof.Mruma, Dr.Bashiru, walivyotumikishwa na wanasiasa.
 
Jambo la kusikitisha katika malumbano ya mkataba wa bandari ni kuona wasomi na wanasiasa kutokujibu mada zenye utata na kujikita katika majadiliano yasiyo na utata.

Hoja za kidini na siasa haziwasaidii Watanzania. Uzalendo ndio mtaji wetu. Tujikite katika hoja za msingi.
Pande mbili zikishindana lazima zishindane kwa hoja zinazofanana la sivyo ni upotoshaji na ubabaishaji. Wanaoumia ni wananchi.
 
Kuna watanzania wanaamini Nyerere aliepelekwa kutibiwa ulaya akiwa kwenye stage 4 ya leukaemia. Stage ambayo it’s an open secret siku zako za kuishi zinahesabika, wao bado wanaamini kifo chake kilikuwa kina foul play.

Ndio kama hawa wasiotaka kuelewa kuhusu bandari, ata waambiwe vipi ni sehemu za bandari ya Dar tu sio nchi nzima awataki kuelewa, hata wanapoelezwa mikataba ya utekelezaji wa miradi ndio itakayo kuwa na muda na hizo stage bado hawataki kuelewa, na maelezo mengine kuhusu concerns zao wakijibiwa hawataki kuelewa.

Kuendelea kubishana na watu kama hao ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu; good thing serikali imeamua kufunga ukurasa wake wa kutoa elimu na kuendelea na hatua zingine. Hawa waliobaki sio watu wenye kutaka kuelewa.
 
Kuna watanzania wanaamini Nyerere aliepelekwa kutibiwa ulaya akiwa kwenye stage 4 ya leukaemia. Stage ambayo it’s an open secret siku zako za kuishi zinahesabika, wao bado wanaamini kifo chake kilikuwa kina foul play..
Kwahiyo unajikata kichwa au sio, kule kwenye mkataba hukuona lakes? Na special economic zones? Acha ujinga ww huo mkataba sio dar tu na maziwa makuu na hizo economic zones zote zinatakiwa kuwa surrendered kwa dp world
 
Kwhyo unajikata kichwa au sio, kule kwenye mkataba hukuona lakes? Na special economic zones? Acha ujinga ww huo mkataba sio dar tu na maziwa makuu na hizo economic zones zote zinatakiwa kuwa surrendered kwa dp world
Hayo maelezo sema umeyatoa kwa Lissu au Mwakabusi, ila hayapo kwenye mkataba uliopo kwenye public domain na watu wengi wameusoma.

Kilichopo ni phase 2, ambayo TPA ikiona kuna faida kwao wanaweza wapa hayo maeneo kuwekeza huko mbele kwa utashi wao. Lakini kwa sasa hayo mambo wala sio mjadala, kitakachojadiliwa ni mambo saba tu ya phase 1 na yote yanahusu bandari ya Dar.

Yote hayo yapo wazi kwenye mkataba sema kuna wenzetu mmeamua kukubali kulishwa uongo na hamtaki tena kusikia maelezo ya serikali.

Binafsi nawapongeza kwa kuona inatosha sasa waendelee na mengine nyie endeleeni na kupiga porojo kwenye social media platforms.
 
Shvji ni mtaalamu wa Sheria za ndoa sio Sheria za mikataba ya kimataifa.

Kwa angle hiyo anaweza kuzidiwa hata na mchumi maana nae anakua na subject za Sheria kwenye kozi zake...
Prof Shivji ndio MWAMBA WA WOTE HAO, Kama umeanza kumfuatilia sasa hivi sawa, embu katafute maandiko yake utoe tongotongo.
 
Wala siyo Chadema peke yao, hata sisi CCM Chama kubwa kwa kweli hili suala la bandari linatufedhehesha sana. Halifai na hatulitaki sema tu ni uchama chama unatusimbua.
Na uchawachawa, ukiondoa hivi vitu viwili hili dude halifai kabisa.
 
Hayo maelezo sema umeyatoa kwa Lissu au Mwakabusi, ila hayapo kwenye mkataba uliopo kwenye public domain na watu wengi wameusoma...
Danganya totooo 😛😁😁 et wakifanya vizuri watapewa na hayo maeneo mengne, vipi na kule kuwataarifu any opportunities kwanza wao?

Kwamba sirikale haiwezi fanya chochte mpaka wao wawe informed??? Au hii haipo kwenye phase one?
 
Profesa Tibaijuka ambae si Mwanasheria alipoongea kwa kupinga vipengele vya sheria tulimuunga mkono kwa kuwa aliongea tuliyoyapenda kuyasiki...
Unajua kila anayetoa maoni anao upande aliochagua, kwa hiyo kila anayeunga mkono au kupinga inategemea amesimama katika upande upi, lakini katika yote hatuna sababu ya msingi ya kubinafsisha Bandari yetu kwa mkataba mbovu kiasi kile, kama uwekezaji bandarini umefanyika kwa kiasi kikubwa sana, tunapaswa kujua muwekezaji anakuja na nini cha ajabu, sio kupewa bure kabisa.
 
Kama tangu baba wa taifa ni rais mpaka kikwete hakuna aliemuona kuwa anafaa hata kuwa mwanasheria mkuu wa serikali basi hatufai huyo.

Kiongozi huonekana mapema sana kwakifupi shivji abaki kwenye level yake huko juu hawezi.
Elewa kwamba teuzi nyingi kabla ya kuteuliwa ujulishwa kuona kama utaridhia. Shivji ni miongoni mwa watu walio taka kujikita kwenye fani yake tu. Yeye anajua ukikutana nae atakuelezea ni nafasi zipi hakuwahi kutaka kuzitumikia.

Ni msomi mzuri alie leta mabadiliko mengi katika sheria mbalimbali nchini. Mabadiliko mengi ya sheria nchini, yameanzia au kupata maoni chini ya kitivo cha sheria Dar es Salaam toka enzi za mwalimu.

Najiuliza uelewa wa vijana wengi unadhani wanao teuliwa wanaakili saana kuzidi wasioteuliwa. Huu ni upuuuzi. Prof. Shivji anaheshimika kimataifa kama mwanasheria nguli kutoka Tanzania. Si msomi njaa anae taka kujiingiza ktk siasa ili kulamba miguu ya wakubwa.

Yaani eti leo mtaalamu wa uhasibu akatoe utaalam wa sheria, wapi na wapi? Sheria haisomwi kama hadithi. Unahitaji tafsiri yake na hii hadi mtu uwe umesomea sheria kujua tafsiri. Kila mtu anaweza kusoma sheria lakini si kila mtu ni mtafsiri wa sheria.
 
Harafu wanatakiwa kujua itawapoteza,maana huwezi hubiri Ubaguzi wa dini,rangi na maeneo kwenye Nchi ya Nyerere ukaeleweka...
Ndugu yangu Mimi ni mwanaccm kama wewe, tofauti yetu ni kuwa mimi sio chawa,
Msome huyu,

"Nobody is against investing at our ports but we want the country to benefit and not loose because of such investments. The country to loose or gain from foreign investments depends on the terms of the contracts that are signed by consenting parties!

Assad has not understood that the said contract gives monopoly powers to DpWorld hence no other operators will be allowed without their consent!!

It’s not to the interest of the country that DP World should be given a go ahead"
 
Points Muhimu kwenye mahojiano ya Profesa Assad pale Channel Ten kwenye kipindi cha Dira ya Uchumi

👉🏾 Hakuna Bandari Inayouzwa, ni uelewa mbaya tu wa watu...

Amsikilize huyu

 
Danganya totooo 😛😁😁 et wakifanya vizuri watapewa na hayo maeneo mengne, vipi na kule kuwataarifu any opportunities kwanza wao?? Kwamba sirikale haiwezi fanya chochte mpaka wao wawe informed??? Na hii bado ni phase one?
Hakuna sehemu IGA imeandika wakifanya vizuri watapewa hayo maeneo mengine au hata mimi kuandika hivyo; hayo umeyatoa kichwani kwako tu.

Embu muwe mnatabia ya kun’gamua kilichoandikwa kama kilivyo na sio kuweka interpretation zenu kwa maelezo ambayo ni self explanatory literary with no hidden meanings.

Kilichoandikwa TPA ikiona inafaa wanaweza kuwapa hayo maeneo wayaendelezee baadae.

Kwanini hiyo phase 2 ni muhimu on the business side (hili halipo kwenye mkataba) mwekezaji anafikiria hayo maeneo kwa baadae in terms of operational strategy it makes a lot of sense in the future wakiongeza volumes bandarini kuondoa bottleneck za ndani ya Tanzania hayo maeneo waliyotaja phase 2 ni muhimu na yenyewe kuboreshwa ili flow of goods ziwe smooth from point of entry to their final destination (inataka uelewa wa strategic operational planning) kuona wanalenga nini in the long run DPW.

Watu wanaopinga huo mkataba awaelewi tu it’s a game changer bandarini hata tukiongeza na Bagamoyo supporting infrastructure zitakuwa tayari kwa uwekezaji wa phase 2 utakaofanyika iwapo watapewa kibali na TPA.

Ni utoto tu wakupenda kupinga kupinga; Ila katika vitu ambavyo mama ataacha legacy yake Tanzania ni hapo bandarini kuelewa kwa sasa inahitaji wild imagination ya kuona DPW inalenga ku-achieve vitu gani kwa muda mrefu na faida zake kwa TANZANIA hasa ukizingatia tunajenga SGR kwenda maeneo hayo.
 
Back
Top Bottom