Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tuna viongozi wa hovyo sana.jiwe anasikitisha sana,Ndugai nae nimeona juzi clip yake whatsapp anamsifia dada yake bashe akamuomba awepo viwanja vya bunge badae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuna viongozi wa hovyo sana.jiwe anasikitisha sana,Ndugai nae nimeona juzi clip yake whatsapp anamsifia dada yake bashe akamuomba awepo viwanja vya bunge badae
Duh nipe link nione
Dah hebu iletenimeona whatsapp status,ngoja niitafute video niweke hapa mkuu
Nilikuwa hapa Singida nikielekea Mwanza. Niliamua kusimama kwa muda mchache kufuatilia hotuba ya Rais Magufuli baada ya kumuapisha Waziri Mkuu Kassim Majaliwa. Katika maneno mengi aliyozungumza, nimebeba yafuatayo:
hii hapa mkuuDah hebu ilete
jiwe anasikitisha sana,Ndugai nae nimeona juzi clip yake whatsapp anamsifia dada yake basAibu Sana akamuomba awepo viwanja vya bunge badae
Tafuta popote nilipowahi kusema wastaafu wamesusa. Nilitarajia ungeniambia tija ya hao wazee kuwepo kwenye hizo hafla, mfano Melecela na umri alio nao na hali yake kiafya. Ni kweli JK alikuwa anafuja fedha za umma kwa safari zisizo na tija huko ng'ambo, je hiki kinachoendelea sasa chini ya awamu ya tano ukiacha style ya ufujaji, tofauti ya ufujaji iko wapi?
Anajilinganisha miaka zaidi ya 20 aliyotumikia idara nyingine na Miaka mirano ya Ubilionea aliupata baada ya kuwa waziri anaona ni kama Ardhi na Mbingu. Ana kila sababu ya kumtukuza mtu aliyempa fursa ya kuyabadili maisha yake kwa muda mfupi sana.Yaani Kabudi anamuabudu Magufuli.
Ila kweli Ualimu wa chuo kama hauna vimiradi na unategemea mshahara tu ,ni umaskini kabisa.Anajilinganisha miaka zaidi ya 20 aliyotumikia idara nyingine na Miaka mirano ya Ubilionea aliupata baada ya kuwa waziri anaona ni kama Ardhi na Mbingu .
Ana kila sababu ya kumtukuza mtu aliyempa fursa ya kuyabadili maisha yake kwa muda mfupi sana.
Madaraka Afrika ni kila kitu .
Rushwa na ahadi za vyeo.Ni kwa vile humu vijana ni wengi. Tangu baada ya uchaguzi wa vyama vingi mawaziri wakuu wote walipita bila kupingwa.
2000 sumaye alipita bila kupingwa
2005 Lowassa alipita bila kupingwa
2010 Pinda alipita bila kupingwa
2020 Kassim kapita bila kupingwa
HAYA KUHUSU, CHAPA KAZIHivi PM kwa sasa hivi amebakishiwa majukumu yapi?
Masikhara, haiwezekaniKabudi kasema Mheshimiwa Mungu[emoji16][emoji16][emoji16],akimaanisha mhemshimiwa Rais!
Kujipendekeza kukizidi unaweza kukufuru hivi hivi!