Kikwete, stop that nonsense. Nyinyi mnaojiita viongozi mnatuibia, mnakosa maadili , nyie ndio watu hatari. Wewe umeiba mpaka basi, leo unaleta porojo. Ikibidi dini zitumike tuwaondoe msituibie.
 
Acha utapeli. Hii speech ni ya miaka 14 iliyopita. Labda kama hujamuona jk hivi karibuni
 
bandari inahitaj siasa ? yaan kwa akili yako na kikwete ndio maana mnaiingiza nchi shimon , kwamba viongoz wa dini wakitoa maoni wamefanya siasa ? ww ukitoa maoni umefanya siasa ? hv hoja hizo 8 za hao TEC ni za uongo ? bado wajinga ndo mtaji wa ccmu , mtu anajielewa haez sema kutoa maoni ni kifanya siasa
 
Angemwambia Mama alivyoingia tu akakataa kusalimia Wakristo ila Salamaleko anasema na kuitikia,
 
Kikwete si ni Mwanasiasa? Mbona kaenda kusimama kwenye Jukwaa la Dini na kumhubiri Mungu? Au hiyo siyo kuchanganya dini na siasa?
Kwani yeye JK tangu sakata hili linaanza mpaka mashehe wale ubwabwa walikuwa wanaongelea huu mkataba, mbona hakuja hadharani kukemea hilo la kuchanganya  siasa   na  dini ?? Alikuwa wapi mpaka amesikia tamko la waRoma ndio anaamka?? Wasifanye wa Tz wajinga.
 
ccmu ndo wanalifanya hilo jambo kufikia huko , tangu hawali walipoambiwa ilibid wajue watu wamestuka na wangerekebisha mapema basi hat tusingefikia huku , kuona maprofesaa na viongoz wa dini wanalijia juu , maana yake wameona kiburi cha Samia ambae anashauliwa ila kakaza shingo , yaan hapa nchi ikiingia vitan mnasingizia wazungu , upumbav kama huu hata Ghadaf na Assad waliufanya ona nchi zao zilipo sasa hv , Samiah anatupeleka huko huko , yeye hajali kikubwa yeye bado ni rais bas kwake inatosha , adui wa taifa ni Samiah wala sio hao masheikh maana hao wanatumia upumbav wa kiongoz wa nchi
 
Nyie ni watu hatari sana kwa amani ya nchi hii.
 
Nyie ni watu hatari sana kwa amani ya nchi hii.
 
Ndo nia yenu kumbe? Sasa sikiliza. Samia ndo Rais wako hadi 2030. Wafikishie salamu wenzako
ww ni mpumbav badala ya kuangalia ukwel au uongo kti hoja za hao TEC , ww unaangaika na wasifu wao , masheikh wameongea sana , iweje TEC walipotoa hoja za msingi wao waonekane wanachanganya dini na siasa , je masheikh wao hawachangany dini na siasa , endelea kulala chumba kimoja na shetan mudan ukifika atakukula ww , si unazan mpo safari moja kisa wote wa rangi moja [emoji23]
 
JK leo amepanda gari jioni.

Tamko limeshasomwa Nchi zima anaibukia Mara!!!

Siku zote alipiga kimyaaaaa!!!

Sasa Tamko linasomwa anaanza hotuba ambayo imeshakuwa overtaken by event.

Suala la bandari sio siasa wala dini ni raslimali za Tanganyika ( zawananchi).
 
Upumbavu mtupu, alikuwa wapi wakati mchi inauzwa?

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
 
Cha kushangaza na kusikitisha zaidi, yeye siyo padri wala mchungaji bali ni mwanasiasa lakini kahudhuria kwenye tukio la watu wa dini na kaongelea mambo ya kisiasa.
Watu wa siasa wana dini zao na siasa ni maisha ya watu...
 
Umeshawahi kuniona nikiunga mkono matamko ya kidini humu?
 
Haya sasa , msichanganye dini na siasa🤣
 

Attachments

  • C43C4D23-FF95-4CFF-A93B-BFC963AF6F81.jpeg
    25 KB · Views: 1
  • 736403F3-1C00-4708-B016-875DE3556359.jpeg
    39.8 KB · Views: 1
Cha kushangaza na kusikitisha zaidi, yeye siyo padri wala mchungaji bali ni mwanasiasa lakini kahudhuria kwenye tukio la watu wa dini na kaongelea mambo ya kisiasa.
Watu wa siasa wana dini zao na siasa ni maisha ya watu...
Kikwete ni hopeless hana uwezo wa kudeal na mambo mazito
 
Cha kushangaza na kusikitisha zaidi, yeye siyo padri wala mchungaji bali ni mwanasiasa lakini kahudhuria kwenye tukio la watu wa dini na kaongelea mambo ya kisiasa.
Watu wa siasa wana dini zao na siasa ni maisha ya watu...
 

Attachments

  • 33D4BE9C-7BE3-43C6-86B7-C35BD66E4D13.jpeg
    25 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…