Rais Samia aitisha kikao cha dharura usiku huu (Mei, 08 2022) Ikulu Dar Es Salaam kujadili mafuta

Rais Samia aitisha kikao cha dharura usiku huu (Mei, 08 2022) Ikulu Dar Es Salaam kujadili mafuta

Sasa kila siku wanaitana na wanaagizana harafu hawaji na majibu..

Yaani kila mtu anaogopa lawama..

Mimi nawapa ufumbuzi,punguza Kodi na tozo kwa sh 400 harafu gap la kufidia mapato,TRA iendeshwe oparesheni ya kuhakikisha kila muuzaji anatoa risiti na kila mnunuzi anachukua risiti..

Wasiofanya hivyo ni faini na kupiga mnada bidhaa zao, mapato yako mengi Sana kwenye Bar,Migahawa,Guest House,madukani nk..mfano kuna mauziano ya mali yanafanyika daily ila hakuna anaelipa Kodi .

Kuendelea kuchekea watu wasiowajibika ila waanadai haki itawatokea puani.
Ahakikishe na hizo hela zinachoenda kukifanya kinaonekana.
 
Sasa kila siku wanaitana na wanaagizana harafu hawaji na majibu..

Yaani kila mtu anaogopa lawama..

Mimi nawapa ufumbuzi,punguza Kodi na tozo kwa sh 400 harafu gap la kufidia mapato,TRA iendeshwe oparesheni ya kuhakikisha kila muuzaji anatoa risiti na kila mnunuzi anachukua risiti..

Wasiofanya hivyo ni faini na kupiga mnada bidhaa zao, mapato yako mengi Sana kwenye Bar,Migahawa,Guest House,madukani nk..mfano kuna mauziano ya mali yanafanyika daily ila hakuna anaelipa Kodi .

Kuendelea kuchekea watu wasiowajibika ila waanadai haki itawatokea puani.

Una akili kuliko mawaziri husika, this make sense
 


Kusikia Kwa Kenge Hadi Atoke Damu Puani Na Masikioni

 
Sawa, bei ya mafuta inaweza kushuka ( kama wataweza) Je, watashisha Bei za bidhaa mbali mbali ambazo zimeshapanda hadi wakati huu?

Pili, hao walioitwa kujadili tatizo ndio wanaojibu sisi hatuchimbi mafuta, mfumuko wa Bei au mafuta kupanda ni duniani kote, mbaya zaidi mmoja akasema mafuta kwetu Bei ni nafuu kuliko USA. Hapo kweli Kuna mjadala wenye tija au tutegemee tozo jipya?

Wanajua kuongeza toto tu hawana jipya!! Kama ni maagizo kwani ilibidi waitwe usiku?
 
Una akili kuliko mawaziri husika, this make sense
Habari za eti kukulipa Kodi kwa hiari ni sawa ila waliohiari sasa ndio mziki,mtu aache kujitajirisha eti akalipe Kodi?

Nani hafahamu kwamba huku mitaani watu hawatoi risiti wala kudai risiti?

Serikali ikaliwe kooni hadi akili zikae sawa.
 
Wanajua kuongeza toto tu hawana jipya!! Kama ni maagizo kwani ilibidi waitwe usiku?
Kuitana ni lazima na hapo nadhani ni briefing kwa Rais Kwa sababu hicho kikao PM alikaa na Mawaziri husika..

Kinachotafutwa ni ridhaa ya Rais kwenye kuondoa baadhi ya Kodi na tozo afu ajue athari kwenye bajeti na namna ya kufidia gap..

TRA ni wazembe mno,kuna mapato mengi Sana yanapotea 👇

Screenshot_20220508-180701.png
 
Miongoni mwa waliohudhuria kikao hicho ni Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Waziri wa Nishati ,January Makamba, Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA), Alphayo Kidata na makatibu wakuu wao.
Kama mwigulu anahusika ufumbuzi hakuna!
 
Sasa kila siku wanaitana na wanaagizana harafu hawaji na majibu..

Yaani kila mtu anaogopa lawama..

Mimi nawapa ufumbuzi,punguza Kodi na tozo kwa sh 400 harafu gap la kufidia mapato,TRA iendeshwe oparesheni ya kuhakikisha kila muuzaji anatoa risiti na kila mnunuzi anachukua risiti..

Wasiofanya hivyo ni faini na kupiga mnada bidhaa zao, mapato yako mengi Sana kwenye Bar,Migahawa,Guest House,madukani nk..mfano kuna mauziano ya mali yanafanyika daily ila hakuna anaelipa Kodi .

Kuendelea kuchekea watu wasiowajibika ila waanadai haki itawatokea puani.
Siyo kawaida yako. Hongera.
 
Rais Samia Suluhu Hassan, ameitisha Kikao cha dharura usiku wa leo Mei 8, 2022 Ikulu ya Dar es Salaam kujadili tatizo la kupanda kwa bei ya mafuta nchini.

Miongoni mwa waliohudhuria kikao hicho ni Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Waziri wa Nishati ,January Makamba, Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA), Alphayo Kidata na makatibu wakuu wao.

Katika kikao hicho, Rais Samia amewaagiza viongozi hao kutafuta suluhisho la haraka katika kukabiliana na tatizo hilo la Upandaji wa bei ya Mafuta nchini.


Mwananchi
Kwahiyo alilomuagiza Makamba ampe jibu siku ya Jumanne amefuta!
 
Upumbavu mtupu,ndo shida ya kuongozwa na mtu alie unga unga elimu.

Kwanza yeye alituambia vitu vyote vitapanda bei sababu ya mafuta kupanda bei,alikuwa wapi hapo awali wakati akisema hayo maneno kutafuta suluhisho? Sasa hivi wananchi wameumia vya kutosha ndo anajifanya kuitisha kikao,huu ni upumbavu wa hali ya juu.

Kiongozi wa Taifa huwezi toka hadharani kusema kila kitu kitapanda bei,mafuta yatapanda bei huku ukijuanwafanya biashara wa Tanzania huwa wanasubiria palipo na weaknesses wanapitia hapo,badala ya kutafuta suluhisho wewe kila siku wimbo ni ule ule,vitu vitapanda bei! Jitafakari sana wewe Dada kama hicho kiatu kinakutosha,kama kinakupwaya sio lazima uongoze,sifa ya kuwa Rais tayari unayo,is better you quit out of the state house,Nalog out!
 
Kitakachotokea sasa[emoji848], Tanzania yangu ni vichekesho kwa kweli.
 
akili zilezile. unatengeneza tatizo kisha unaitisha kikao kulitatua. ujinga mtupu.
 
Waafrika tunapenda sana kula imagine kikao serious kama hicho kimejaa machupa na majuisi sijui makorosho kwani wangekula baada ya kumaliza ingekuwaje? Hatuko serious kabisa kila sehemu tunawaza kula kula hovyo tu.
Yaah kabisa wangeweka pembeni huko pale ziwepo karatasi data kwa data.
Mtu kapata kiu akachukue glas yake ya maji juice pembeni.
 
Back
Top Bottom