Rais Samia apende-asipende siku yaja atamfuta Uwaziri January kwa shinikizo la wananchi

Pamoja na mapungufu yake deep down January ni kiongozi msikivu na anapita sana J.F

Ni reasonable personal kama unauelewa wa kitu, kosoa njia zake on merit kwanini zitafeli akiona kweli kuna hoja anabeba mawazo utaona anayafanyia kazi be it atazuga ni yake.

Lakini kumtukana tu bila ya kumwambia anakosea wapi ataendelea kuboronga na tuna viongozi wachache sana wanaopokea positive criticism na kuzifanyia kazi kama January.

Muhimu kuzitaja sifa zake pia kama kiongozi, pamoja na mabaya yake ana majungu pia mpaka anatia kichefuchefu kuna wasaa.
 
Nimemwacha anpiga tungi, me nimejiondokea!
 
January ni Makonda aliyechangamka
 
Tangu umeanza kusema January hujachoka tuu huu uzi wa 7 sasa
 
Januari kakata mirija au kakata umeme kwa mkandarasi wa jnhpp na kusababisha deni la billion 18? Hilo deni atalilipa yeye na maharage wake? Huko ni kumhujumu rais SSH wazi wazi. Hivi nyie watu akili mmeziwekeza kwa nani?
Kwani kuna umeme pale? Kakata ulaji
 
Usichokijua ni kwamba aliwekwa hapo makusud ili aharibu na kwel yametimia.. hyo wizara kama si mwamba inakua mzigo.. ni ngum hyo wizara na ina posho sana na rushwa hyo wizara ila lazima uchafuke.. so bwa mdogo aliwekwa hapo makusud aharib ili asiwe kizingit kwenye mbio na medan za urais nchini.. wamemuweza kwelkwel
 
Kwani bila uwaziri hawezi kuishi?

Acheni kumsakama kupita kiasi.
Hiv wee jamaa huonag aibu.. kushangilia na kupiga makofi na kusifia kila uchwao.. hiv umeumbwa kwa kuwa na shobo tuu.. hiv wazaz wako waliokusomesha wanajua mtoto wao kawa mpiga mapambio na chawa kias hki.. kila kitu unateteaga as if ni kitengo maalum cha kumumba cha kaz ya kusifia na kupiga makof kila siku.. hiv na hal hii ya uchumi roho haikusuti shekhe.. kama kusifia na kutetea ushafanya sana.. hebu tumia common sense hata mara1 1
 
Suzy Elias:

Kuna awamu bwana mmoja alikuwa kipenzi saaana, sasa hii pia kuna vipenzi viwili. Kifungua mimba/Kitinda mimba. Kukaa kimya haina maana sisi ni mazwazwa!!!!
 
Kama Kitwanga
 
Sukuma gang unateseka bure!

Zama zenu zilishapita bwashee.

Kumchukia waziri hsiwasaidii chochote hao wazazi wako walioshindwa kukupa elimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…