Rais Samia atoe amri Paul Makonda naye akamatwe kwa Tuhuma zake zinazoendana na za Ole Sabaya

Vip makonda anakukaza?
 
MAKONDA KAWEKEZA HATA KWENYE AWAMU YA SITA. KUNA CLIP ZILIKUA ZINATEMBEA ZIKIMUONYESHA MAKONDA WAKATI WA BUNGE LA KATIBA AKIWAOMBA WATAKAOCHAGULIWA KUGOMBEA URAIS WASIMSAHAU MAMA KWA KAZI NZURI ALIYOFANYA KULIENDESHA BUNGE LA KATIBA KAMA MAKAMU WA MWENYEKITI.
 
Mtumishi wa chini hisia tu za upotevu wa elf 50 anakaa nje ya Kazi miaka kupitisha uchunguzi lkn wapigao mabilioni kimya hara awaguswi
 
Alitamka Roma na Mo wakarudishwa kwa sababu yeye ndiye aliyekuwa mkuu wa kikosi cha utekaji kilichoanzishwa na mwendazake kwa malengo maalumu.
Haaaaa kumbe! Basi ashughulikiwe haraka sana kama waharifu wengine
 
Mkuu GuDume umesema kweli kabisa. Sabaya amepoenzwa na kiherehere chake cha kishamba. Nadhani bado hajaamini kama yule mjinga aliyekuwa anamlea ameishaondoka hapa nchini.
 
Watu wamemnyamazia Makonda maana mama sio mchukua hatua serious, iwapo mama angekuwa mchukua hatua za ukweli dhidi bya waovu, saa hii shutuma zote za Makonda nazo zingewekwa hadharani.

Shutuma zipi hizo; za kuwateka watu akiwemo ROMA? Roma anaweza kuwa shahidi mzuri sana iwapo tume itaundwa kufuatilia vitendo vya utekaji vilivyoshamiri hasa mkoa wa DAR. enzi ya Bashite!!!
 
Tayari Sabaya na mabaunsa wake wameishaanza kushughulikiwa; bado Bashite na Mungiki wake.

 
Sasa hivi JAMBAZI Sabaya anaishi kama DIGIDIGI
 

Attachments

  • VID-20210528-WA0024.mp4
    10.1 MB
Hatimaye Ole Sabaya ameingia Kingi, hiyo yaweza kuwa headline nzuri kwa magazeti ya kesho.

Nawapongeza sana watu wa mitandao ya jamii kwa kelele na sauti ambazo tulipaza mpaka huyu Dhalimu akapatikana.

Sasa napendekeza tulianzishe kwa Paul Makonda maarufu Kama Daudi Albert Bashite mpaka naye awajibishwe kwa matendo yake maovu. Kimsingi uovu wa Ole Sabaya haufikii hata robo ya uovu wa Makonda. Na kila alilokuwa anafanya Sabaya alikuwa anaiga na ku -consult kutoka kwa Makonda.

Tutumie silaha yetu ya "social media" kama wanavyotuita "key board warriors" mpaka Makonda akapate anachostahili. Tushambulie kila mahali kupitia JF, TWITTER na FB.

Hii kampeni ianze mara moja kutaja madhambi yake. Kama TAKUKURU au Polisi hawatachukua hatua, basi wanahatakati wa haki za binadamu wanaweza wakatushauri mamna ya kumfikisha Mahakamani
 
Wadanganyika sijui mtajitambua lini?!

Siku upinzani ukishika nchi, ndio mtashuhudia hawa watu wakipambana na mkono wa sheria na haki ikitendeka, lakini kamwe si hawa CCM wakiwa madarakani.

Mfano, julize tu Ruge na Seth ndio waliingia BOT kuchota zile hela?Waliowachotea wako mahabusu gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…