Rais Samia: Hatukutoa fursa ya Mikutano ya hadhara watu wakavunje sheria, wasimame kutukana, kukashifu na kuchambua dini za wengine

Hii nchi ni kama vile tumelogwa na tuna utawala uliobatilka, hakuna baraka katika nchi! Ardhi ina laana na viongozi hawana kibali cha Mungu katika kutuongoza.


Karibu nchi nzima tuna tatizo la nishati ya mafuta na umeme kwa muda sasa, Badala Rais akae chini na watendaji kufahamu mbivu na mbichi badala yake kila kukicha anawaza namna gani ya kupooza upinzani huku akiwa hana hata uwezo wa kuongoza nchi, .


Wananchi tumeshachoka.
 
Mnafiki sana huyu mama! Afu anadhani wa TZ wote ni wajinga!
Samia is using delaying tactics so that no meaningful legislation can take place before local and the general elections take place.
Haifanyi kazi ya kuongoza nchi; akili yake yote iko kwenye jinsi atakavyofanikiwa kupata muhula wake mwenyewe wa kutawala! Mungu atuepushe na hili balaa lingine.
 
Fanya kazi mkuu hakuna wa kukuletea ugali nyumbani,kulalama hakujawahi kumsaidia mtu kwa lolote!
 
Mama wakikuzingua piga pini mazima kama Mwendazake au watiwe korokoloni wanataka kukuzoea.
 

Yeye hajionu anavyovunja sheria ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…