Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Speech au Taarab?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hv wengne mnapata wap nguvu za kumpongeza huyu bi mkubwa!? 🤔 Mbn naona hana ktu chchte kichwan!? Nchi haina matumain now n yuh still here praising that old lady here guyz! Sshv ht hko mitandaon tunaona nomah kujitambulisha kama waTanzania sababu tu ya ujinga wa taifa letu.Umeweza kuwasambaratisha chadema na TEC Yao kwa speech yako iliyojaa hekima ya Hali ya juu sana. Huku mitandaoni ni matusi kwa kwenda mbele hawakuami kuwa una akili kubwa kiasi hicho.
Tangu Jana Kina mdude et al wanavurumisha matusi tu mana umewaumbua sana na hawana pa kushika kwa Sasa.
Kusoma hujui, kuandika hujui. Je, utaweza kuelewa hotuba nzuri?Umeweza kuwasambaratisha chadema na TEC Yao kwa speech yako iliyojaa hekima ya Hali ya juu sana. Huku mitandaoni ni matusi kwa kwenda mbele hawakuami kuwa una akili kubwa kiasi hicho.
Tangu Jana Kina mdude et al wanavurumisha matusi tu mana umewaumbua sana na hawana pa kushika kwa Sasa.
Hatunywi sumu , hatujinyongi CCM mbele kwa mbeleUmeweza kuwasambaratisha chadema na TEC Yao kwa speech yako iliyojaa hekima ya Hali ya juu sana. Huku mitandaoni ni matusi kwa kwenda mbele hawakuami kuwa una akili kubwa kiasi hicho.
Tangu Jana Kina mdude et al wanavurumisha matusi tu mana umewaumbua sana na hawana pa kushika kwa Sasa.
Unafurahia akina lisu walipopigwa lisasi na jpm na kukimbila ubiligijia au siyo? Ule utawala ndo unaufurahi. Sasa hivi kwanza kusingekuwa na mpinza I hata mmojaanayekosoa kama wanavyojimwaga sasaHv wengne mnapata wap nguvu za kumpongeza huyu bi mkubwa!? 🤔 Mbn naona hana ktu chchte kichwan!? Nchi haina matumain now n yuh still here praising that old lady here guyz! Sshv ht hko mitandaon tunaona nomah kujitambulisha kama waTanzania sababu tu ya ujinga wa taifa letu.
Unafurahia akina lisu walipopigwa lisasi na jpm na kukimbila ubiligijia au siyo? Ule utawala ndo unaufurahi. Sasa hivi kwanza kusingekuwa na mpinza I hata mmojaanayekosoa kama wanavyojimwaga
Hakuna rais anaingia madarakani ili kudeal na upinzani/ wapinzani tambua hlo budder na moja ya majukumu ya rais ni kuipush nchi kwenda mbele kimaendeleo.Unafurahia akina lisu walipopigwa lisasi na jpm na kukimbila ubiligijia au siyo? Ule utawala ndo unaufurahi. Sasa hivi kwanza kusingekuwa na mpinza I hata mmojaanayekosoa kama wanavyojimwaga sasa
Na wewe ulimuamini aliposema?😃ameishasahau kwamba aliwahi kutuahidi Wadanganyika kwamba yeye si Mtu wa kufokafoka na hatafokafoka...?!)
Daaah ashatuona watanganyika hatumfanyi chochoteKm kitabu tu Cha Buricheka, Kalumekenge au Sadiki na Chitemo?
Au AladinKm kitabu tu Cha Bulicheka, Kalumekenge au Sadiki na Chitemo?
Ndio hivyo km Watoto wa Mama Ntilie tu au KusadikikaAu Aladin
Kitabu cha chopeko na mnofuAu Aladin
DuuuhNdio hivyo km Watoto wa Mama Ntilie tu au Kusadikika
Ushaambiwa tu kile ni kitabu tu km kilivyo Mabala the farmerDuuuh
Kashasema kua Katiba haina tofauti na Things Fall Apart Chinua AchebeYeye ni Rais wa katiba halafu leo anaidharau!!